ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,384
- 92,467
Wadada wana tabia ya kununua "dazen" ya chupi...🤣kunadada jana nimemuona ananunua chupi nyingi sana.
Wadada wana tabia ya kununua "dazen" ya chupi...🤣kunadada jana nimemuona ananunua chupi nyingi sana.
huyo ni wewe na ndio zako hizo.Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Sasa msimu wa mvua ndo huo umeanza yaani shikamoo mvua!
Msimu huu ni msimu ambao kwa suala la kufua nguo hua ni mgumu sana.
Sababu inayopelekea kuwa mgumu ni kwakuwa nguo zikifuliwa hazikauki.
Sasa ukutane na mtu aliyevalia nguo hizo huwa harufu yake ni mbaya.
Uvundo huwa unanuka vibaya mno, hapa najua kuna ambao washasikia hizo harufu.
Iwe ni kwenye gari la umma basi unaweza tamani kushika ili usisikie.
Hata maofisini pia unakuta mtu mmekaa nae ananuka kauvundo uvundo.
Kama hauna mashine ya kufulia na kukausha nguo bora ukatumia wanaita sjui iron box wazungu (Yaani Pasi kwa sisi wadigo)..Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Sasa msimu wa mvua ndo huo umeanza yaani shikamoo mvua!
Msimu huu ni msimu ambao kwa suala la kufua nguo hua ni mgumu sana.
Sababu inayopelekea kuwa mgumu ni kwakuwa nguo zikifuliwa hazikauki.
Sasa ukutane na mtu aliyevalia nguo hizo huwa harufu yake ni mbaya.
Uvundo huwa unanuka vibaya mno, hapa najua kuna ambao washasikia hizo harufu.
Iwe ni kwenye gari la umma basi unaweza tamani kushika ili usisikie.
Hata maofisini pia unakuta mtu mmekaa nae ananuka kauvundo uvundo.
2000Kufua Jeans Dry cleaner bei gani et maboss?
na huwa ukipeleka nguo sasa hivi unaenda ichukua muda gani baadae?2000
Mleta mada tafuta hela kanunue Mashine ya kufulia na inakaushaHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Sasa msimu wa mvua ndo huo umeanza yaani shikamoo mvua!
Msimu huu ni msimu ambao kwa suala la kufua nguo hua ni mgumu sana.
Sababu inayopelekea kuwa mgumu ni kwakuwa nguo zikifuliwa hazikauki.
Sasa ukutane na mtu aliyevalia nguo hizo huwa harufu yake ni mbaya.
Uvundo huwa unanuka vibaya mno, hapa najua kuna ambao washasikia hizo harufu.
Iwe ni kwenye gari la umma basi unaweza tamani kushika ili usisikie.
Hata maofisini pia unakuta mtu mmekaa nae ananuka kauvundo uvundo.
Unahisi watu wote wanaweza kuwa na uwezo wa kuwa na mashine ya kufulia..Mleta mada tafuta hela kanunue Mashine ya kufulia na inakausha
Ulofa mbaya yaani unaleta hoja ya kimaskini sana humu
jionina huwa ukipeleka nguo sasa hivi unaenda ichukua muda gani baadae?
Angeandika kuwa baadhi ya watu wajiandae na harufu za nguo kutokaukaUnahisi watu wote wanaweza kuwa na uwezo wa kuwa na mashine ya kufulia..
Mzee uliekosa hekima...
Masikini akipata matako hulia mbwata...
Nimekutana na wanafunz Wana nguo mbich had hurumaLabda kwa wavaa uniform.
Na ukute hana ya kubadilisha daah!!Nimekutana na wanafunz Wana nguo mbich had huruma