Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Kongosho umenifurahisha jinsi ulivyoeleza.......mama hafananishwi na kitu kingine upendo anaokuwa nao kwa mwanawe hata wakati mwingine naangalia mafanikio/maisha niliyonayo nikimwondoa Mwenyezi Mungu muweza wa yote ni mama kwa sala na upendo dhati.Sijui unaupimaje huo upendo, ila kwa mtizamo wangu, hakun amtu amaewahi nipenda kama mama yangu. Na huwanasikitika kuwa japo nampenda, ila upendo wangu kwake hauwezi fikia upendo wake kwangu.
Na hii niliiona baada ya mie kupata watoto wangu, jinsi ninavyowapenda sitegemei wao wanipende vile. kwa nini? They take me for granted sababu wamezaliwa na kunikuta ninawapenda tu. Na wao wanaona nipo tu kwa ajili yao na siwezi kuondoka. Siwezi kumsemea saana baba, japo nakubali wapo kina baba wanawalea watoto wao utadhani wao ndio mama zao (cc Nyani Ngabu - Sijui kwa nini nahisi ni baba wa mfano)
Tofauti na mie sikuwa nao, ni kitu nimekifanyia kazi kukipata, kuanzia utungaji wa mimba, ukuaji wa mimba na mawasialiano kati yetu, mara kanichoma mbavu na kiwiko, mara anacheza mieleka, mradi tu mawasiliano yako juu juu.
I could not wait for them to come out nione product yangu. Na kitu cha kushangaza na kufurahisha ni kuona sura 2 katika mtu mmoja, my eyes, his nose, my lips, his ears. Kuanzia siku ya kwanza nilivyokiona kidogo kama ki samaki kimejaa mifupa kila mahali, i was so excited, ambavyo nilihangaika hata kukitoa kitandani nisijue la kufanya. Kumbukumbu hizo zote kwa pamoja zinajikusanya na kuwa upendo mkubwa ambao kwa tafsiri yangu ya sasa, sitegemei kupata upendo wa aina hiyo kwa mtu mwingine zaidi ya mama.
Labda kwa sababu mapenzi ya mzazi na ya mme/mke yanatofautiana.
its more than that!! when you're sick, feeling down, made a mistake etc mama anakuwa wa kwanza kukufariji na kukupa ushauri. even when i'm angry sometimes my mom's voice can calm me na kunifanya nijiulize mara mbili mbili why nimechukia na inasaidia kuepuka kufanya "something i'll regret later". this is hard to find in other women so thats y tunasema mom's love is #1
sina wasiwasi kabisa kuwa mama yangu ananipenda sana tena sana kabisa.......
Najiuliza ni fair kutoa statement kama hii?
Ni kweli kabisa kuwa mama zetu wanatupenda sana kuliko mtu yeyote anavyotupenda?
Nina uhakika naweza kupima mapenzi yangu kwenda kwa mwingine, nina uhakika kabisa nani nampenda zaidi kuliko mwingine, lakini unaweza kujua kwa uhakika kabisa kuwa nani anakupenda sana kuliko mwingine?
Ni kweli wababa hawapendi watoto wao zaidi ya vile ambavyo mama zao wanawapenda?
Tuachane na story za kusema "mama alimbeba mtoto tumboni miezi 9" ndo sababu anampenda sana. kuna wamama ambao wanabeba mimba na wanatupa watoto au kuwatelekeza.
Haya mapenzi ya kutota upande mwingine tunayapimaje?
Naomba tujadiliane hili tafadhali
Sijui unaupimaje huo upendo, ila kwa mtizamo wangu, hakun amtu amaewahi nipenda kama mama yangu. Na huwanasikitika kuwa japo nampenda, ila upendo wangu kwake hauwezi fikia upendo wake kwangu.
Na hii niliiona baada ya mie kupata watoto wangu, jinsi ninavyowapenda sitegemei wao wanipende vile. kwa nini? They take me for granted sababu wamezaliwa na kunikuta ninawapenda tu. Na wao wanaona nipo tu kwa ajili yao na siwezi kuondoka. Siwezi kumsemea saana baba, japo nakubali wapo kina baba wanawalea watoto wao utadhani wao ndio mama zao (cc Nyani Ngabu - Sijui kwa nini nahisi ni baba wa mfano)
Tofauti na mie sikuwa nao, ni kitu nimekifanyia kazi kukipata, kuanzia utungaji wa mimba, ukuaji wa mimba na mawasialiano kati yetu, mara kanichoma mbavu na kiwiko, mara anacheza mieleka, mradi tu mawasiliano yako juu juu.
I could not wait for them to come out nione product yangu. Na kitu cha kushangaza na kufurahisha ni kuona sura 2 katika mtu mmoja, my eyes, his nose, my lips, his ears. Kuanzia siku ya kwanza nilivyokiona kidogo kama ki samaki kimejaa mifupa kila mahali, i was so excited, ambavyo nilihangaika hata kukitoa kitandani nisijue la kufanya. Kumbukumbu hizo zote kwa pamoja zinajikusanya na kuwa upendo mkubwa ambao kwa tafsiri yangu ya sasa, sitegemei kupata upendo wa aina hiyo kwa mtu mwingine zaidi ya mama.
Labda kwa sababu mapenzi ya mzazi na ya mme/mke yanatofautiana.
ha haaa, mimi najua kuwa napenda sana watoto wangu, wote..... but ninavyomwangalia baba yao, ukweli siwezi kusema upendo wangu kwa watoto ni mkubwa kuliko wake, nitakuwa namwonea. hapa upendo sisemei uwajibikaji, upendo
Sijui unaupimaje huo upendo, ila kwa mtizamo wangu, hakun amtu amaewahi nipenda kama mama yangu. Na huwanasikitika kuwa japo nampenda, ila upendo wangu kwake hauwezi fikia upendo wake kwangu.
Na hii niliiona baada ya mie kupata watoto wangu, jinsi ninavyowapenda sitegemei wao wanipende vile. kwa nini? They take me for granted sababu wamezaliwa na kunikuta ninawapenda tu. Na wao wanaona nipo tu kwa ajili yao na siwezi kuondoka. Siwezi kumsemea saana baba, japo nakubali wapo kina baba wanawalea watoto wao utadhani wao ndio mama zao (cc Nyani Ngabu - Sijui kwa nini nahisi ni baba wa mfano)
Tofauti na mie sikuwa nao, ni kitu nimekifanyia kazi kukipata, kuanzia utungaji wa mimba, ukuaji wa mimba na mawasialiano kati yetu, mara kanichoma mbavu na kiwiko, mara anacheza mieleka, mradi tu mawasiliano yako juu juu.
I could not wait for them to come out nione product yangu. Na kitu cha kushangaza na kufurahisha ni kuona sura 2 katika mtu mmoja, my eyes, his nose, my lips, his ears. Kuanzia siku ya kwanza nilivyokiona kidogo kama ki samaki kimejaa mifupa kila mahali, i was so excited, ambavyo nilihangaika hata kukitoa kitandani nisijue la kufanya. Kumbukumbu hizo zote kwa pamoja zinajikusanya na kuwa upendo mkubwa ambao kwa tafsiri yangu ya sasa, sitegemei kupata upendo wa aina hiyo kwa mtu mwingine zaidi ya mama.
Labda kwa sababu mapenzi ya mzazi na ya mme/mke yanatofautiana.
rafiki unajitahidi kuni-convince, lakini bado, nitaendelea kukomaa.Sijui unaupimaje huo upendo, ila kwa mtizamo wangu, hakun amtu amaewahi nipenda kama mama yangu. Na huwanasikitika kuwa japo nampenda, ila upendo wangu kwake hauwezi fikia upendo wake kwangu.
Na hii niliiona baada ya mie kupata watoto wangu, jinsi ninavyowapenda sitegemei wao wanipende vile. kwa nini? They take me for granted sababu wamezaliwa na kunikuta ninawapenda tu. Na wao wanaona nipo tu kwa ajili yao na siwezi kuondoka. Siwezi kumsemea saana baba, japo nakubali wapo kina baba wanawalea watoto wao utadhani wao ndio mama zao (cc Nyani Ngabu - Sijui kwa nini nahisi ni baba wa mfano)
Tofauti na mie sikuwa nao, ni kitu nimekifanyia kazi kukipata, kuanzia utungaji wa mimba, ukuaji wa mimba na mawasialiano kati yetu, mara kanichoma mbavu na kiwiko, mara anacheza mieleka, mradi tu mawasiliano yako juu juu.
I could not wait for them to come out nione product yangu. Na kitu cha kushangaza na kufurahisha ni kuona sura 2 katika mtu mmoja, my eyes, his nose, my lips, his ears. Kuanzia siku ya kwanza nilivyokiona kidogo kama ki samaki kimejaa mifupa kila mahali, i was so excited, ambavyo nilihangaika hata kukitoa kitandani nisijue la kufanya. Kumbukumbu hizo zote kwa pamoja zinajikusanya na kuwa upendo mkubwa ambao kwa tafsiri yangu ya sasa, sitegemei kupata upendo wa aina hiyo kwa mtu mwingine zaidi ya mama.
Labda kwa sababu mapenzi ya mzazi na ya mme/mke yanatofautiana.
Kongosho umenifurahisha jinsi ulivyoeleza.......mama hafananishwi na kitu kingine upendo anaokuwa nao kwa mwanawe hata wakati mwingine naangalia mafanikio/maisha niliyonayo nikimwondoa Mwenyezi Mungu muweza wa yote ni mama kwa sala na upendo dhati.
ndo maana naogopa sana kuweka kwenye mizani mapenzi ya wapenzi na ya wazazi hasa mama......
ila nikifikiria sana wamama wangapi wapo ambao hawawapendi watoto wao kihivyo? yaani zaidi ya wanavyopendwa na dada, kaka, baba?
rafiki unajitahidi kuni-convince, lakini bado, nitaendelea kukomaa.
pamoja na kuwa mimi ni mama na nawapenda sana wanangu, lakini sioni kama ni sahihi kwao kusema kuwa mimi nawapenda zaidi kuliko wanavyopendwa na wengine
Na hii niliiona baada ya mie kupata watoto wangu, jinsi ninavyowapenda sitegemei wao wanipende vile. kwa nini? They take me for granted sababu wamezaliwa na kunikuta ninawapenda tu. Na wao wanaona nipo tu kwa ajili yao na siwezi kuondoka. Siwezi kumsemea saana baba, japo nakubali wapo kina baba wanawalea watoto wao utadhani wao ndio mama zao (cc Nyani Ngabu - Sijui kwa nini nahisi ni baba wa mfano).
its more than that!! When you're sick, feeling down, made a mistake etc mama anakuwa wa kwanza kukufariji na kukupa ushauri. Even when i'm angry sometimes my mom's voice can calm me na kunifanya nijiulize mara mbili mbili why nimechukia na inasaidia kuepuka kufanya "something i'll regret later". This is hard to find in other women so thats y tunasema mom's love is #1
Yaani sio peke yako, mwenyewe kanitia hamu ya kuwa na kazygote tena. Wapi The Boss, l need kaspermatozoa now now now!!!!!
Kongosho umeelezea wewe mpaka sijui niongeze nini,ila tena kuna hili jambo nimesikia likisemwa kuwa mtoto anapokuwa umri fulani na kifo cha mzazi mmojawapo sana sana mama kikitokea huumia kupita maelezo,lakini kinapotokea wakati tayari mtoto ana mke/mume haumizwi sana na kifo hicho kama ambavyo ataumizwa na kifo cha mume/mke wake,sijui hili pia limekaaje jamani nimekuwa nikijaribu kuona ukweli wa hili lakini nimekuwa sipati jibu halisi.
copy Fixed Point
yani kwa kweli kila mwanamke aliyezaa akiisoma hii lazima amesisimkwa mwili!
dada mkubwa nafikkir tukae kama kamati!
hiv kwani kwenye ukoo kuna mapacha?
kwani hatuwezi tukawatengeneza wa nje nje!lol!
Yaani sio peke yako, mwenyewe kanitia hamu ya kuwa na kazygote tena. Wapi The Boss, l need kaspermatozoa now now now!!!!!
kwa kweli yani hiv genye za kuzaa zinaanzaje si ndio hivi hiv
tu do ze needful asee! Kongosho sa ndio nini!
yani umeelezea kale ka hali kwa utamu bana chaaaaaaaaaaaa!
aseee ita hyo mnyamwezi mwenzio muongeze idadi bana!
Najiuliza ni fair kutoa statement kama hii?
Ni kweli, kabla haujaoa au kuolewa, mama ni mhimili mkubwa sana, hasa kihisia
Lakini unapokuwa na mme/mke na labda watoto, dhumuni lako la kuishi linakuwapana zaidi. Na kwa sababu watoto huja na kuiba upendo wako, yale maumivu ya kuondokewa na mzazi yanakuwepo, wakati huo huo kunakuwa na watu wengine wanaokutegemea na uwapendao sana.
Nadhani ni hivyo, sina hakika ila. . .