Tujadiliane hili tafadhali

Tujadiliane hili tafadhali

Fixed Point

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2009
Posts
11,304
Reaction score
12,753
1391758_556275424451820_177935180_n.jpg

sina wasiwasi kabisa kuwa mama yangu ananipenda sana tena sana kabisa.......
Najiuliza ni fair kutoa statement kama hii?
Ni kweli kabisa kuwa mama zetu wanatupenda sana kuliko mtu yeyote anavyotupenda?
Nina uhakika naweza kupima mapenzi yangu kwenda kwa mwingine, nina uhakika kabisa nani nampenda zaidi kuliko mwingine, lakini unaweza kujua kwa uhakika kabisa kuwa nani anakupenda sana kuliko mwingine?
Ni kweli wababa hawapendi watoto wao zaidi ya vile ambavyo mama zao wanawapenda?
Tuachane na story za kusema "mama alimbeba mtoto tumboni miezi 9" ndo sababu anampenda sana. kuna wamama ambao wanabeba mimba na wanatupa watoto au kuwatelekeza.
Haya mapenzi ya kutota upande mwingine tunayapimaje?
Naomba tujadiliane hili tafadhali
 
mmmh hii mada imetawanyika sana hii ujue
hapa umeongea vitu zingi zingiiiiiiiii(ehehheh mtoto wangu mpaka kesho akitaka kumaanisha vitu ni vingi sana lazima aseme hili neno,zingiiiiiii)
naja!
 
sina wasiwasi kabisa kuwa mama yangu ananipenda sana tena sana kabisa.......hata mimi
Najiuliza ni fair kutoa statement kama hii?.......ipi?
Ni kweli kabisa kuwa mama zetu wanatupenda sana kuliko mtu yeyote anavyotupenda?.....hata baba zetu
Nina uhakika naweza kupima mapenzi yangu kwenda kwa mwingine, nina uhakika kabisa nani nampenda zaidi kuliko mwingine, kumpendaje?lakini unaweza kujua kwa uhakika kabisa kuwa nani anakupenda sana kuliko mwingine?...unaweza kujua ukitaka
Ni kweli wababa hawapendi watoto wao zaidi ya vile ambavyo mama zao wanawapenda?....wote wanawapenda watoto zao kwa namna tofauti
Tuachane na story za kusema "mama alimbeba mtoto tumboni miezi 9" ndo sababu anampenda sana. kuna wamama ambao wanabeba mimba na wanatupa watoto au kuwatelekeza.....kweli kabisa
Haya mapenzi ya kutota upande mwingine tunayapimaje?.....kwa kutumia mapenzimeter
Naomba tujadiliane hili tafadhali.........asante
 
mmmh hii mada imetawanyika sana hii ujue
hapa umeongea vitu zingi zingiiiiiiiii(ehehheh mtoto wangu mpaka kesho akitaka kumaanisha vitu ni vingi sana lazima aseme hili neno,zingiiiiiii)
naja!

Kweli damkubwa kaongea vitu zingi.
Mimi nafikiri ni ngumu na si sahihi kulinganisha uoendo wa mama na mpenzi. Kila mtu ana aina yake ambayo haiwezi zibwa na mwingine.
FP ni mtoto, mama na mke pia. Waweza sema wampenda mama yako kuliko mume au mwanao kuliko mama au mumeo kuliko mama au mwanao? Sidhani. So hiyo kauli mimi siiafiki.
 
l know my mama loved me very much,
ingawa mimi nilimpenda zaidi kwakua alimpa upendo my step sister sawa sawa na mtoto wake wa kuzaa, I felt proud of her. Luv u mama.
 
Kweli damkubwa kaongea vitu zingi.
Mimi nafikiri ni ngumu na si sahihi kulinganisha uoendo wa mama na mpenzi. Kila mtu ana aina yake ambayo haiwezi zibwa na mwingine.
FP ni mtoto, mama na mke pia. Waweza sema wampenda mama yako kuliko mume au mwanao kuliko mama au mumeo kuliko mama au mwanao? Sidhani. So hiyo kauli mimi siiafiki.
huu ndo haswa mtazamo wangu....
nilikutana tu na hiyo ya kusema mapenzi ya mama ni makubwa kuliko yoooteeeee!
nikawa najiuliza ni kweli? unaweza kwa uhakika kulisema hilo?
mimi najua kabisa siwezi kusema hivyo, maana siwezi kupima mapenzi wa wengine kwangu.....
baba? mume? wanangu? kaka? dada? rafiki?
 
mmmh hii mada imetawanyika sana hii ujue
hapa umeongea vitu zingi zingiiiiiiiii(ehehheh mtoto wangu mpaka kesho akitaka kumaanisha vitu ni vingi sana lazima aseme hili neno,zingiiiiiii)
naja!
ha haaa, fanya urudi....
hivi hiyo picha niliyoweka inaonekana? au naiona peke yangu?
 
huu ndo haswa mtazamo wangu....
nilikutana tu na hiyo ya kusema mapenzi ya mama ni makubwa kuliko yoooteeeee!
nikawa najiuliza ni kweli? unaweza kwa uhakika kulisema hilo?
mimi najua kabisa siwezi kusema hivyo, maana siwezi kupima mapenzi wa wengine kwangu.....
baba? mume? wanangu? kaka? dada? rafiki?

of course huwezi pima mapenzi ya mtu mwingine towards you, lakini waweza pima au compare mapenzi yako kwenda kwa watu wengine, ndio maana unaweza jiweka kwenye viatu vya mama as mama na kujiuliza kati ya mumeo na mwanao wampenda zaidi yupi? Na mara nyingi ni kila mtu anapendwa kwa nafasi yake.
 
mmmh hii mada imetawanyika sana hii ujue
hapa umeongea vitu zingi zingiiiiiiiii(ehehheh mtoto wangu mpaka kesho akitaka kumaanisha vitu ni vingi sana lazima aseme hili neno,zingiiiiiii)
naja!
ha haa, si unanijua dadako?
tatizo kujieleza nilipata sifuri...
nazunguka tuuu, kitu ninachotaka kukiongea kinakataa kutoka direct.
swali lilikuwa moja tu...
Ni fair kusema kuwa "mapenzi ya mama ni makubwa kuliko ya yeyote?"
 
mapenzi ni mada panaaaaa
inategemea unaitafsiri vipi kwa mtu na mtu
mapenzi nayompenda mangi wangu haiwezi kuwa sawa na mapenzi nayompenda mzee k au mama k
mapenzi nayompenda toto sio sawa nayompeda dadangu
na mapenzi nayompenda rafiki yangu sio sawa na mapenzi nayompenda shosti wangu!
so nafkir kila mmoja nampenda kwa nafasi yake
kuna mahisia siwezi kumuonyesha mama k jamani but kwa mangi ni poa
kuna mapenzi naweza kumuonyesha mtoto wangu siwezi kumuonyesha rafiki yangu!
ehehehh speaking of it basi huuu moyo una chamber nying sana aseee!
yani wen i come to think of it kiukweli moyo wa mwanadamu ni mpana sana!mnoo!
 
of course huwezi pima mapenzi ya mtu mwingine towards you, lakini waweza pima au compare mapenzi yako kwenda kwa watu wengine, ndio maana unaweza jiweka kwenye viatu vya mama as mama na kujiuliza kati ya mumeo na mwanao wampenda zaidi yupi? Na mara nyingi ni kila mtu anapendwa kwa nafasi yake.
umeona eeeh!
ni rahisi sana kwangu kusema kuwa nampenda kakangu kuliko mwanangu, lakini najuaje kuwa babangu ananipenda zaidi kuliko mama yangu?
 
Mom's love is unconditional.........

yani mi najua hamna anaenipenda saana zaid ya mama angu
kanifanyia mambo mengi achilia mbali kunilea katika tumbo lake miezi 9
nawazaga sana hivi without her mimi HOE ingekuwaje na misukosuko niliyopitia!!!!!!!!!!!!!!

yaani najua ananipenda sana may be if my dad was alive ningeweza kusema tofauti ila kwa
kukua kwangu hadi kesho na keshokutwa mapenzi ya mama kwangu ni zaidi ya vyovyote
 
mapenzi ni mada panaaaaa
inategemea unaitafsiri vipi kwa mtu na mtu
mapenzi nayompenda mangi wangu haiwezi kuwa sawa na mapenzi nayompenda mzee k au mama k
mapenzi nayompenda toto sio sawa nayompeda dadangu
na mapenzi nayompenda rafiki yangu sio sawa na mapenzi nayompenda shosti wangu!
so nafkir kila mmoja nampenda kwa nafasi yake
kuna mahisia siwezi kumuonyesha mama k jamani but kwa mangi ni poa
kuna mapenzi naweza kumuonyesha mtoto wangu siwezi kumuonyesha rafiki yangu!
ehehehh speaking of it basi huuu moyo una chamber nying sana aseee!
yani wen i come to think of it kiukweli moyo wa mwanadamu ni mpana sana!mnoo!
ha haaaa, kwenye moyo hapo ishia hapo hapo....
usiendelee kuwa waweza penda mangi wa3 kwa wakati mmoja..... nitakurudisha kwa mama k kujifikiria upya....
thanx mwalimu wetu wa ukoo, umefafanua vema kabisa.
kwa hiyo niwe na amani tu kuhusu huo usemi wa kupendwa sana na mama kuliko mtu mwingine yeyote?
 
Mom's love is unconditional.........

yani mi najua hamna anaenipenda saana zaid ya mama angu
kanifanyia mambo mengi achilia mbali kunilea katika tumbo lake miezi 9
nawazaga sana hivi without her mimi HOE ingekuwaje na misukosuko niliyopitia!!!!!!!!!!!!!!

yaani najua ananipenda sana may be if my dad was alive ningeweza kusema tofauti ila kwa
kukua kwangu hadi kesho na keshokutwa mapenzi ya mama kwangu ni zaidi ya vyovyote
unamtendea haki mtu mwingine yeyote anayekupenda kwa haya maneno yako?
 
wahenga walisema "usiusemee moyo." sio skuzote ukionacho kinaweza kuwa ndicho.
 
Kweli damkubwa kaongea vitu zingi.
Mimi nafikiri ni ngumu na si sahihi kulinganisha uoendo wa mama na mpenzi. Kila mtu ana aina yake ambayo haiwezi zibwa na mwingine.
FP ni mtoto, mama na mke pia. Waweza sema wampenda mama yako kuliko mume au mwanao kuliko mama au mumeo kuliko mama au mwanao? Sidhani. So hiyo kauli mimi siiafiki.

niliposoma hii mada nikawaza upendo niliona kwa mama yangu nizaidi lakini niliporudi kwa mwanangu nikawaza mmmhh nampenda kuliko mama khaa nikizidi kwenda kwa ndugu jamaa na marafiki kila mmoja ana nafasi yake ya upendo kwangu nashindwa kutamka mama/mwanangu.....upande wa mume umechanganya na upendo wa agape/ mapenzi tayari hapa unakuwa upendo wa aina nyingine
 
ha haaaa, kwenye moyo hapo ishia hapo hapo....
usiendelee kuwa waweza penda mangi wa3 kwa wakati mmoja..... nitakurudisha kwa mama k kujifikiria upya....
thanx mwalimu wetu wa ukoo, umefafanua vema kabisa.
kwa hiyo niwe na amani tu kuhusu huo usemi wa kupendwa sana na mama kuliko mtu mwingine yeyote?
EHEHEHHEHHEEHHHE !shikamooo dadakubwa!
 
Nakubaliana na hiyo statement kiasi kikubwa, ukiachia special cases za wanaoua watoto wao au kuwadhuru.
Vinginevyo upendo wa mama hakuna mtu mwingine anaweza kukupa, it's deep. Na kamwe huwezi kumpenda mzazi wako kama yeye anavyokupenda.

Wee fikiria tu upendo wako kwa wanao, ni kiasi gani waweza sacrifice kwa ajili yao? Unadhani ni rahisi mtu mwignine fanya hivyo kwa ajili yao?
 
Back
Top Bottom