JF
Nimeona nianzishe uzi tujadili hili maana nimeona minyukano ya pandehizi mbili na matusi juu wakati huu hasa baada ya kuondokewa na Rais wetu mpendwa Magufuli...RIP..
Mi nadhan kwanza wanataka kumyumbisha Rais wetu Mama Samia na utawala wake...sidhani hawaelewi kwamba wananchi majority zaidi ya 85% ndio waliichagua ccm ichukue dola...wale wengine walipigwa kule..inamaana kwamba wananchi wanataka itikadi ya ccm iendeshe nchi.ambayo Ni Ujamaa na Kujitegemea..Ujamaa huu Ni wa kisasa sio ule wa enzi zile..Ujamaa huu unataka njia kuu za uchumi kumilikiwa na umma..keki yoyote ya nchi inaenda equally kwenye huduma kama barabara, hospital, shule..n.k. biashara huria ilimradi iwe halali na ulipe Kodi forodhani..uwepo wa Demokrasia ya kweli...Na wananchi wanahimizwa kujenga chumi zao ili wajitegemee..wasiwe ombaomba...tatizo liko wapi.?.labda tujadili tueleweshane..kwa sababu naamini wananchi wanachoamua wanakielewa sana..Miaka yote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Nimeona nianzishe uzi tujadili hili maana nimeona minyukano ya pandehizi mbili na matusi juu wakati huu hasa baada ya kuondokewa na Rais wetu mpendwa Magufuli...RIP..
Mi nadhan kwanza wanataka kumyumbisha Rais wetu Mama Samia na utawala wake...sidhani hawaelewi kwamba wananchi majority zaidi ya 85% ndio waliichagua ccm ichukue dola...wale wengine walipigwa kule..inamaana kwamba wananchi wanataka itikadi ya ccm iendeshe nchi.ambayo Ni Ujamaa na Kujitegemea..Ujamaa huu Ni wa kisasa sio ule wa enzi zile..Ujamaa huu unataka njia kuu za uchumi kumilikiwa na umma..keki yoyote ya nchi inaenda equally kwenye huduma kama barabara, hospital, shule..n.k. biashara huria ilimradi iwe halali na ulipe Kodi forodhani..uwepo wa Demokrasia ya kweli...Na wananchi wanahimizwa kujenga chumi zao ili wajitegemee..wasiwe ombaomba...tatizo liko wapi.?.labda tujadili tueleweshane..kwa sababu naamini wananchi wanachoamua wanakielewa sana..Miaka yote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.