Tujadili: Uwepo wa Ujamaa wa kisasa ama Ubepari

Watu mdomoni wanasema wao wajamaa
Wakati kwenye maisha yao wanaishi kibepari

Ova
Katika pitapita zangu Tanzania, Sijaona Mtanzania Pebari.

Ubepari una sifa nyingine inaitwa Ubinafsi...

Tanzania unaenda kwenye Duka la Muhaya unakuta kuna Muha anauza...
 
Huo ndio uhalisia kwenye record zetu jomba..hatuna alternative data zozote zilizosema otherwise..hakuna hata kesi ya mahakama ya kupinga..matokeo..basi hiyo ndio data tunayo. Hatuwez argue kwa kutumia akili tu zetu then ikawa aunthetic data au information

Kesi ya kupinga kwa mahakama gani?
 
Huo ndio uhalisia kwenye record zetu jomba..hatuna alternative data zozote zilizosema otherwise..hakuna hata kesi ya mahakama ya kupinga..matokeo..basi hiyo ndio data tunayo. Hatuwez argue kwa kutumia akili tu zetu then ikawa aunthetic data au information
Unaposhindwa kusema ukweli mwanzo kabisa , basi jua kila kitakachoendelea hakitakuwa sahihi
Kwa structure za mahakama zetu zilivyomezwa na katiba, nani angeweza kufungua kesi dhidi ya tume ya uchaguzi na kushinda,?
 
Shida ya ujaamaa ni kuwa ,una direct link na umasikini, ni moja ya system inayozalisha watu wavivu kirahisi sana, maana kuna watu wanaweza wakaamua wasifanye kazi kwa kuwa kuna working class
Ubepari ni mzuri kwa maana ya kuchapa kazi na kuamini juhudi ndio the only tool for survival , shida kubwa ipo kwenye kuhama kutoka ujaamaa kwenda ubepari hapa ndo pana balaa na pagumu.
Kama kuna system ya ku blend ujamaa na ubepari tupate kitu kingine nadhani ingetufaa kama taifa
 
Kesi ya kupinga kwa mahakama gani?
Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?

Nikukumbushe tu kuwa
2005 Mbowe akigombea Urais alipata kura laki 5
2010 Dr Slaa alipata kura Milion 2 na laki kama 4 hivi
2015 Lowasa anapata kura Milion 6 sote tunajua kuwa Lowasa yeye kama yeye alikuwa na base ya watu ambao walitoka CCM wengine amabao walimkubali tu na Ukumbuke kulikuwa na ile Ukawa ambayo kwa kias kikubwa pia ilichangia, Sasa bandugu Chadema kama Chadema chini ya Lissu kura Milion 9 ingezitoa wapi? Maana kila uchaguzi nyie ni watu wakulalalmika tu.
 
Soko Huria maana yake waache matajiri wafanye chochote...

Market and Economy regulation ni lazima na ni muhimu

Ngoja nikuulize, sijajua itachukua muda gani kujibu

1. Cryptocurrency
Blockchain inaondoa central administration ya kila kitu ambapo inakotumika, it is free and legit technology na hii ndio imetumika kutengeneza Bitcoin, etherium n.k Kwa nini bank kuu zinazikataza ikiwemo benki kuu ya Marekani moja ya Taifa kubwa na Kibepari na linalohamasish free market?

Katika Katiba ya CHAUMA wanasema hawakubaliani na aina yoyote ya soko huria
Unachouliza ni tofauti na nikuchokujibu

Ulidai kwenye Free enterprise economy huwezi lalamika bei ya vifurushi kupanda.

Kuwepo suku huru haimaanishi serikali haiwezi ingilia!! Ila tu inakua limited kwenye policy na regulation.

Mfano hyo blockchain tech as much as zipo kwenye soko huria lakini pia zina contradict na sheria zilizopo za money laundering, Capital markets, competition law, mfano kama kuna sheria inayotaka miamala yote iwe reflected kwenye centralized swift system, sasa if any crypto deals hazipiti huko ndio maana zinaweza kuwa blocked. But in other circumstances zisingekua blocked.

Unless ulitaka nchi kama US isiwe na sheria kabisa ili soko lijiamulie lenyewe kuanzia bei mpka market structure!!
 
Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?

Nikukumbushe tu kuwa
2005 Mbowe akigombea Urais alipata kura laki 5
2010 Dr Slaa alipata kura Milion 2 na laki kama 4 hivi
2015 Lowasa anapata kura Milion 6 sote tunajua kuwa Lowasa yeye kama yeye alikuwa na base ya watu ambao walitoka CCM wengine amabao walimkubali tu na Ukumbuke kulikuwa na ile Ukawa ambayo kwa kias kikubwa pia ilichangia, Sasa bandugu Chadema kama Chadema chini ya Lissu kura Milion 9 ingezitoa wapi? Maana kila uchaguzi nyie ni watu wakulalalmika tu.
Hapo kura halali ni za Mbowe tu ila Dr Slaa na Lowassa walipata zaidi ya hiyo.

Nachoweza kukubali ni kwamba Lissu hakushinda uchaguzi lakini haimaanishi JPM alipata 85%.... Realistically JPM 60-65% na Lissu 35-40%.

Jifunze US au Kenya miaka yote mshindi ni gap ya 10% au below sio 80% kwa 20% mambo hayo hayapo realistic mkuu hta kma ungefanya kila kitu.
 
Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?

Nikukumbushe tu kuwa
2005 Mbowe akigombea Urais alipata kura laki 5
2010 Dr Slaa alipata kura Milion 2 na laki kama 4 hivi
2015 Lowasa anapata kura Milion 6 sote tunajua kuwa Lowasa yeye kama yeye alikuwa na base ya watu ambao walitoka CCM wengine amabao walimkubali tu na Ukumbuke kulikuwa na ile Ukawa ambayo kwa kias kikubwa pia ilichangia, Sasa bandugu Chadema kama Chadema chini ya Lissu kura Milion 9 ingezitoa wapi? Maana kila uchaguzi nyie ni watu wakulalalmika tu.

Naona unatoa mifano ya nyuma ili kubeba Utetezi wako wa hiki kilichofanyika uchaguzi huu. Kwa kukusaidia tu, hata wapiga kura wote hawakufika 10m. Kama tayari hata idadi ya wapiga kura ilikuwa ya kupika, hizo kura 9m Lisu angezitoa wapi? Kwa ujumla ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ni bora Mungu ameamua kufanya mabadiliko bila kumwaga damu, ila Magufuli alichafua sana demokrasia ya nchi hii.

Halafu kuhusu Lowasa, ukweli ni kuwa kura walizopata cdm hata isingekuwa Lowassa au ushirikiano wa Ukawa, bado cdm ingepata kura nyingi tu. Lowassa apate kura milioni 6+ kwa kusema "Elimu, elimu, elimu"! Huyo Lowassa namfananisha na mtu aliyekuta chakula mezani kisha akaanza kugawa, halafu akapewa sifa za mpishi bora. Alaaniwe Mbowe na genge lake kwa kumleta huyo mzee tapeli wa kisiasa ndani ya cdm.
 
Shida ya ujaamaa ni kuwa ,una direct link na umasikini, ni moja ya system inayozalisha watu wavivu kirahisi sana, maana kuna watu wanaweza wakaamua wasifanye kazi kwa kuwa kuna working class
Ubepari ni mzuri kwa maana ya kuchapa kazi na kuamini juhudi ndio the only tool for survival , shida kubwa ipo kwenye kuhama kutoka ujaamaa kwenda ubepari hapa ndo pana balaa na pagumu.
Kama kuna system ya ku blend ujamaa na ubepari tupate kitu kingine nadhani ingetufaa kama taifa
Ujamaa sio uvivu...

Uvivu ni tabia na unachangiwa na utamaduni

Msingi wa waendeleo yote ni Kazi.

Ukisema Ujamaa ni uvivu basi Wachina ni wavivu kuliko wote wayahudi ni wavivu, wajerumani ni wavivu.
 
Ujamaa sio uvivu...

Uvivu ni tabia na unachangiwa na utamaduni

Msingi wa waendeleo yote ni Kazi.

Ukisema Ujamaa ni uvivu basi Wachina ni wavivu kuliko wote wayahudi ni wavivu, wajerumani ni wavivu.
Sijasema ujamaa ni uvivu , nimesema ni system amabayo ni rahisi sana kuzalisha wavivu, nilikuwa nimeweka bakaa hapo kwa wachina kwa muktadha wa desturi za jamii inaweza kuchangia pia uvivu
Lakini the fact kwa nini warusi ni walevi kupindukia inatokana na athari za Ujamaa
Ujamaa kuna working class , na kuna class inaweza ku take advantage of the working class
 
Ujamaa ndio njia pekee itakayomkomboa Mwafrika...

asilimia 90 ya Watanzania hawawezi kuishi upebari...

Marekani kuna vyama viwili vinavyopokezana madaraka Democratic na Republicans.

Democtratic(American Socialist) ni Kama CCM kwa mbali na Rebulicans ni Kama Chadema.

Hivi vilikuwa chama kimoja ila kulikuwa na mambo machache ambayo waasisi wake hawakukubaliana

1. Kodi
2. Huduma za Jamii
3. Namna Serikali itajenga miundombinu
4. Mipaka ya Free Market

Kwenye Kodi Republicans wanaamini kuwa matajiri hawatakini kulipa kodi kubwa na badala yake mzigo wa kodi upewe middle class na lower class, sababu ni kuwa tajiri ana weka equity kubwa kwenye uchumi hivyo ana take risk kubwa kuliko makundi mengine, na pia kama utawapunguzia kodi watajiri watazalisha kwa wingi.

Democratic wao wanaamini Sio sawa tajiri alipe kodi ndogo na middle-class wawe na mzigo wa kodi, jamii itakuwa na matabaka yasiozuilika

Kwenye huduma za jamii Republicans wao wanaamini kuwa Huduma za jamii kama afya na bima hazipaswi kugharamiwa na Serikali badala yake kila mmoja ajigharamie, kwa serikali kugharamia huduma za Afya ni kuifilisi serikali na kumuondolea mtu machaguo katika afya yake

Democratics wanaamini serikali inapaswa kugharamikia huduma za jami ili ziwe nafuu kwa watu wote

Kuhusu soko Huria.
Repulicans wao hawakubaliani na government regulations kwenye free market wanataka biashara ziwe free as they can be, ndio maana wanaamini serikali kuwa katika mikataba kama ya Carbon emission inachangia kufifisha biashara na hata Trump aliwahi kujitoa.

Binadamu ni mjamaa kiasili ila mazingira ndio yanamofanya ajifunze tabia za kipebari, Waafrika tutafanikiwa kama tutaweza kuendeleza ujamaa na kujitegemea.
Asante..umetupa mchanganuo mzuri na wa ukweli kabisa. .binafsi nimekuwa nikifikiri ubepari Ni kama ubinafsi tu wa kutaka kujilimbikizia mwenyewe na familia yako ili mneemeke wenyewe..bila kujali mwenzako anakula na anaishije...bepari kiasilia hathamini asiye nacho..na mara nyingi kumkaribia huwezi..utamwonea wapi..
 
CCM mmeanzisha lini ujamaa wa kisasa? Ndiyo ujamaa gani huo? Mnataka kudandia sera ya social democrats ya ACT?

Wazembe wakubwa!!!
 
Shida ya sera za kijamaa kwa Tanzania ni tabia ya viongozi kuwa na mamlaka ya kujitwalia mali za watu binafsi walizotafuta kwa jasho na miaka mingi....

Unapomnyang'anya mtafutaji unamvunja moyo wa kutafuta zaidi. Pia kunakuwa hakuna uhakika wa mazingira ya biashara kutanuka na kuwa kubwa sababu sheria hata kama zipo haziheshimiwi maana serikali ndio inakuwa na last say badala ta mahakama na mamlaka husika.

So nadhani tunaweza kuboresha huu ujamaa wetu kama tutaweza kurekebisha baadhi ya sheria ambazo zitaweza kulinda raia na mali zao.
Hizo tabia unazosema jomba Ni tofauti kabisa na sera za ujamaa na Kujitegemea...hizo kiukweli Ni tabia mbovu na binafsi tu, inawezekana hata uongozi wa juu unakuwa hauna taarifa..Sheria zipo nzuri Sana zinazolinda watu na Mali zao na ndio maana unaona watu wapp na amani Sana na wanajifanyia kazi zao kwa amani kabisa. ..mahakama zipo na zinatenda haki sana
 
CCM mmeanzisha lini ujamaa wa kisasa? Ndiyo ujamaa gani huo? Mnataka kudandia sera ya social democrats ya ACT?

Wazembe wakubwa!!!
Jomba Kwan huu ujamaa uliopo Ni wa namna gani...hizo translation nyingine unazojua wewe Ni za watu weupe mzee..nadhani...tusikariri mambo..tofauti ya ujamaa wa ACT na CCM ipo wapi hasa...mi nadhan ACT ame c&p ccm.. kwa sababu tofauti ikisemwa ipo Ni ya namna ya operation tu..
 
Sijasema ujamaa ni uvivu , nimesema ni system amabayo ni rahisi sana kuzalisha wavivu, nilikuwa nimeweka bakaa hapo kwa wachina kwa muktadha wa desturi za jamii inaweza kuchangia pia uvivu
Lakini the fact kwa nini warusi ni walevi kupindukia inatokana na athari za Ujamaa
Ujamaa kuna working class , na kuna class inaweza ku take advantage of the working class
Sasa kama warusi wavivu jomba...imekuwaje kuweza kufikia level ya dunia ya kwanza wakati wakiwa wajamaa
 
Mkuu umetoa somo la kutosha hapo kwa mfano huo; hata kama umeurahisisha sana.

Ninakubaliana kabisa na maneno ya mwanzo uliyoweka kwenye mstari wako wa mwisho.

Mwisho: hebu cheki hii ya hao hao wamarekani uliowachambua hapa>

Janga la COVID-19 - Trump anasema "Go Big" yaani wananchi wapewe pesa kiasi kikubwa zaidi ya zile $400 walizopewa kwenye awamu yake. Na Trump, ni CAPITALIST as CAPITALISTS come!

Halafu akaingia Biden, Democrat (pengine liberal); yeye akagawa kwa wananchi wake na watoto $1400.

Na mwanzo watu hao hao walipewa $1,200, ili kusaidia kuendesha maisha yao wakati wa corona.

Marekani ndio mfano wa juu kabisa, inapozungumziwa capitalism!

Lengo langu la kuyaandika haya hapa, ni hii kasumba tunayo okoteza bila hata kujua maana ya mifumo hii ya kiuchumi.

Ukimkuta mTanzania anayejinadi yeye anafurahia zaidi Ubepari, utadhani ni yeye aliyeuvumbua; kumbe maskini wa mtu hajui kitu.
Sure..!! Nimekuelewa Sana
 
Mkuu umetoa somo la kutosha hapo kwa mfano huo; hata kama umeurahisisha sana.

Ninakubaliana kabisa na maneno ya mwanzo uliyoweka kwenye mstari wako wa mwisho.

Mwisho: hebu cheki hii ya hao hao wamarekani uliowachambua hapa>

Janga la COVID-19 - Trump anasema "Go Big" yaani wananchi wapewe pesa kiasi kikubwa zaidi ya zile $400 walizopewa kwenye awamu yake. Na Trump, ni CAPITALIST as CAPITALISTS come!

Halafu akaingia Biden, Democrat (pengine liberal); yeye akagawa kwa wananchi wake na watoto $1400.

Na mwanzo watu hao hao walipewa $1,200, ili kusaidia kuendesha maisha yao wakati wa corona.

Marekani ndio mfano wa juu kabisa, inapozungumziwa capitalism!

Lengo langu la kuyaandika haya hapa, ni hii kasumba tunayo okoteza bila hata kujua maana ya mifumo hii ya kiuchumi.

Ukimkuta mTanzania anayejinadi yeye anafurahia zaidi Ubepari, utadhani ni yeye aliyeuvumbua; kumbe maskini wa mtu hajui kitu.
Sure..!! Nimekuelewa sana
 
Back
Top Bottom