Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Baba yangu mzazi ambaye kwa 100% ananitegemea leo asubuhi nimepata habari kuwa amevunjika mkono wakati anatoka ktk kampeni ya CCM huko Rorya wa mbunge Airo.Cha kushangaza baba yangu tayari ni mzee sana na walichukuliwa na gari toka Kata ya ikoma na kusafiri mpaka maeneo ya bugombi karibu na shirati yapata 40km.Anasema walianguka kwenye gari kutokana na bara bara mbovu....sasa mimi ni chadema damu damu na napigania mabadiliko ili yaje mawazo mapya,watu wapya na sera mpya na hapa napigiwa simu nitoe fedha apelekwe hospitalini but sijisikii kusaidia hilo maana tuko maskini na yeye yuko hivyo(maskini) kwa sb ya sera mbovu za ccm.Je nimsaidie au nichune Nape au Airo amtumie?