Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Sijakuona hizi siku mbili, msalimie aliye kuficha
Sijakuona hizi siku mbili, msalimie aliye kuficha
Inawezekana akawa mke wakeUngetoa mifano mkuu...mke wa nani mrahisi? Ndoa ya nani haina heshima?
Au wako?
Hahaa nahangaika kujenga taifa uje upake rangi bana. demiSijakuona hizi siku mbili, msalimie aliye kuficha
Pita room. Tuyajenge basi demiSijakuona hizi siku mbili, msalimie aliye kuficha
Kesho morning nipo mlangoni
Good
We we mkunaji mzuri hasahauliki kamwe ujue kiukweli though hela lazima utoe.kuna wengine wako vzuri kifeza so mkuno ni muhimuLakini mkipewa hilo msipopewa pesa kunaibuka tatizo kubwa zaidi
aibu nimeona mimi
Pengine kuna hoja hapa. Ila tuanzie hapa, umeolewa???
Kesho morning nipo mlangoni
Ha haaa acha hizo.Kweli nakuona kwa mbaali hivi. Si ndo wewe yule umevaa sket nyekundu ndefu kama nguva demi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haya bana msalimie alie geukia ukutani. Maana naona unachati kwa kujifichaHa haaa acha hizo.
Wanaume waliooa hawahongi wake zao wanaenda kuhonga michepukoHali ni mbaya sana, wake za watu wamekuwa warahisi sana, wanatafunwa kirahisi mno, mbaya zaidi hawaoni Shida kutoa siri za mume wake kwa mwanaume wa nje, kifupi ukigundua mke wako ana mwanaume nje Muache maana siri zako zote kale kamchepuko atakuwa nazo..
Nini tatizo enyi wanawake??
Nasisi wanaume tunaowatumia wake za watu tumegundua wapi kuna udhaifu kwa hawa wanawake ili tuliooa tujitahidi kuuziba huo udhaifu na ambao hatujaoa tujifunze ili tukioa tuwe makin..
HALI INATISHA, NDOA HAZINA HESHIMA TENA,....
tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app
I seeKila mtu ana sababu zake