kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Hali ni mbaya sana, wake za watu wamekuwa warahisi sana, wanatafunwa kirahisi mno, mbaya zaidi hawaoni Shida kutoa siri za mume wake kwa mwanaume wa nje, kifupi ukigundua mke wako ana mwanaume nje Muache maana siri zako zote kale kamchepuko atakuwa nazo..
Nini tatizo enyi wanawake??
Nasisi wanaume tunaowatumia wake za watu tumegundua wapi kuna udhaifu kwa hawa wanawake ili tuliooa tujitahidi kuuziba huo udhaifu na ambao hatujaoa tujifunze ili tukioa tuwe makin..
HALI INATISHA, NDOA HAZINA HESHIMA TENA,....
tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini tatizo enyi wanawake??
Nasisi wanaume tunaowatumia wake za watu tumegundua wapi kuna udhaifu kwa hawa wanawake ili tuliooa tujitahidi kuuziba huo udhaifu na ambao hatujaoa tujifunze ili tukioa tuwe makin..
HALI INATISHA, NDOA HAZINA HESHIMA TENA,....
tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app