Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,330
Kweli eeee???We we mkunaji mzuri hasahauliki kamwe ujue kiukweli though hela lazima utoe.kuna wengine wako vzuri kifeza so mkuno ni muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eeee???We we mkunaji mzuri hasahauliki kamwe ujue kiukweli though hela lazima utoe.kuna wengine wako vzuri kifeza so mkuno ni muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara kambi ya jirani wanajua siri zetu zote
Kwa kweli kwa kweli. Kwa hiyo Mara moja moja sio mbaya???Ile kitu ni ka kiu Kali ya Maji jangwani dawa nikutuliza kiu ili uwe fresh
Sent using Jamii Forums mobile app
You know a lot it seems
Mwache huyo baba adange iko siku atalia tu haya maisha yanamwisho labda afe ghafulaKama ulikuwepo vile, nikiwahi kudokezwa hivyo na jamaa mmoja aliyekuwa anaishi hapo akaondoka. Yule mama alishaamua kujifanyia vibiashara vyake tu, na vinakwenda.
Mpe chochote uonacho kitamfaayani wewe Mimi cjui nikupe nini kwa jinsi ulivyonikosha
Kuna kunogewa piaKwa kweli kwa kweli. Kwa hiyo Mara moja moja sio mbaya???
Watu wazima wapo kabisa wanaohitaji wahenga wenzaoAh wapi. Kiben 10 never. Mtu mzima mwenzangu ndo mpango
Mara kambi ya jirani wanajua siri zetu zote
Wote TuUngetoa mifano mkuu...mke wa nani mrahisi? Ndoa ya nani haina heshima?
Au wako?
Ungetoa mifano mkuu...mke wa nani mrahisi? Ndoa ya nani haina heshima?
Au wako?
Alikuwa anakoromaHaha haya bana msalimie alie geukia ukutani. Maana naona unachati kwa kujificha
Sent using Jamii Forums mobile app