Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,393
- 79,611
Natafuta mhenga wa ndoto zangu
Natafuta mhenga wa ndoto zangu
Tungoje nini?
hatokuja kuhadithia hapa huyu.....🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Kichekesho sasa, huyo anaekutoa, na kukubembeleza....akikukuoa mnakuwa hamna nyumba, chakula daily ni shida, kwa ujumla mzigo wa mke mtu huyo hawezi!Wanaume mliooa hamtekelezi majukumu yenu ipasavyo,nyie mnaona mkitoa hela za matumizi na bills zote ndo uanaume huo..mnajisahau kwenye kubembeleza na kufanya majukumu ya ndoa ipasavyo...hamuwasifii wake zenu,hamuwatoi out,hamuwapi haki ya ndoa ipasavyo so akikutana na mtu anayefanya haya ni kugusa tu kama kuwasha gari zero kilometer
Na hata usipotimiza wanakuchapia vilevile...ishi nao kwa akili maana hawaridhiki na usijaribu kumuamin mwanamke zaidi ya mama yako tu...utaishi kwa amani na umri mrefuHahaha!Mkuu unaweza ukatimiza majukumu yako vizuri tu,lakini bado vijana wakakuchapia
Daah aisee, acha basi kutuumiza hivi dadaGoli 1 halafu dakiki 2 unategemea nini hapo , na hapo inapita wiki mme mkali wacha wasaidiwe wenyewe si wameshindwa kazi, wajua kujaza mivyakula ndani basi utasikia unakosa nini humu ndani, wakati mke kaacha vyakula kwao kamfuata mme acha atolewe ugwadu hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni mbaya sana, wake za watu wamekuwa warahisi sana, wanatafunwa kirahisi mno, mbaya zaidi hawaoni Shida kutoa siri za mume wake kwa mwanaume wa nje, kifupi ukigundua mke wako ana mwanaume nje Muache maana siri zako zote kale kamchepuko atakuwa nazo..
Nini tatizo enyi wanawake??
Nasisi wanaume tunaowatumia wake za watu tumegundua wapi kuna udhaifu kwa hawa wanawake ili tuliooa tujitahidi kuuziba huo udhaifu na ambao hatujaoa tujifunze ili tukioa tuwe makin..
HALI INATISHA, NDOA HAZINA HESHIMA TENA,....
tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app
..., hawa wanakutisha tu. Hakuna watu waaminifu kama wake za watu.....
Teh, sijui kama watakuelewa....tena ukijumlisha na stress za hawa watu ukishamuweka ndani ndo kabisaaaHakuna kitu ngumu kama kukomaa upige Bao tanoo kwa Mkeoo kama enzi hizoo kabla hamjaoana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtenda hutendwa itafika muda tena wewe hutaamini. Jidanganye na vinguvu vya konyagi saiz ukiingia ndo utajuaHali ni mbaya sana, wake za watu wamekuwa warahisi sana, wanatafunwa kirahisi mno, mbaya zaidi hawaoni Shida kutoa siri za mume wake kwa mwanaume wa nje, kifupi ukigundua mke wako ana mwanaume nje Muache maana siri zako zote kale kamchepuko atakuwa nazo..
Nini tatizo enyi wanawake??
Nasisi wanaume tunaowatumia wake za watu tumegundua wapi kuna udhaifu kwa hawa wanawake ili tuliooa tujitahidi kuuziba huo udhaifu na ambao hatujaoa tujifunze ili tukioa tuwe makin..
HALI INATISHA, NDOA HAZINA HESHIMA TENA,....
tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa ulivoelezea, kuna ukweli mwingiWanaume wanaanza usaliti
Mke anataka ngoma drooo
Mwanaume kaoa lakini hapigani miti vizuri na mkewe yuko radhi achepuke akapige vzuri
Mke haridhishwi naye atafta nje
Wanaume tulia na mkeo mpige miti hadi kutoka nje isiwe ni option kwake..mchoshe sana every chance u get
Nguvu za kiume zenyewe za kuwinda afu mtu anawapanga eti wawili kisa anasambaza goli moja moja kila mahala..braza ukitoka kwako mkeo lazma wakuto.mbee tu
Ninong'oneze PM basi aiseeDah aisee, wish nitoe ushuhuda hapa lkn siwezi.
Ha haaaa wewe. Aku staki
True ukioa bikra umemaliza mchezo...ata raha yenyewe ww ndo utakuwa wa kwanza kumpa..sasa ww unaoa mwanamke anajua style zote,kapitia kila size kwann usigongewe...unajua kwa ss maskini kutokana na majukumu yetu ya kutafuta vipato so sio kwel kwamba utaweza kumtimizia mke wangu kila hitaji sio tu la kitandani hata pia kumhudumia mahitaji ya kwake yy kama mavazi n.k...mwingne anachepuka kisa mwanaume wake hamnunulii nguo au hamtunzi lkn sio kwamba haridhiki kitandani LAHASHA,ukioa mwanamke bikra hutopata hii dhoruba maana kinachotia hamasa wanawake kuchepuka,utakuta labda ex wake alikuwa anamfanyia shopping za maana mazawad kibao ila ww humfanyii hvyo lazima atatafuta suluhu...ila ukioa mwanamke ambaye hajawah kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote kimapenz lazima risk kuchepuka itakuwa ndogo au itakuwa hakuna kbsaNi tatizo la kutokuowa mabikira
Jokajeusi baelezee
Mnabana matumizi unampa halima mume wa halima anampa mkeo bunda lakutosha .
Upo??
Maisha sio kutesana maisha nikusaidiana.
Ukimla mke wa mtu jua wako hata jibana.
Ataliwa ukijiheshimu na yeye roho itamsuta ila nimeona sehemu nyingi sana wanaume za watu wanawabania.
Matumizi wake zao.