jamani mamushkaaaaaa.....
Jamani Hus nimekukosa u mzima.
jamani mamushkaaaaaa.....
Jamani Hus nimekukosa u mzima.
kwa kweli huyo mke wako ni mvivu wa wavivu.Haaa jamani ndoa zina siri nyingi,mimi nikimpata ninaempenda,nitamuenzi hasaaaa,atajua faida ya kuwa na mke.labda ninasema kwa kuwa sina.Jamani wanawake wenye waume mjitahidi ili isiwe sababu ya m.me kutafuta wa pembeni,maana ndoa sio kitandani tu.Back to the topic,kama umeshamfahamisha hajakusikia,mtafute ndugu yake wa karibu mfahamishe yote usibakishe hata moja,kwani kuita ndugu naona kama ni aibu fulani,na huyo mke wako umwambie kama hatobadilika mwisho wake nitawaita ndugu.siyo mambo yote amwachie mfanyakazi,kama kufua kufuli afue mwenyewe,au chumba chake asafishe mwenyewe,au muonyeshe kimapenzi chumbani mwenu msafishe wote.
angalau huyu ameomba msaada,ujue amechoshwa na hizo tabia,na ame admit alichotaka kufanya kwa HG lakini hakukifanya.hiyo ni mifano tosha kuwa s.times na wao wanachoshwa na tabia ambazo wao hawazipendi kwa wake zao.na w.ume sio sana kulalamika nje,mpaka amelalamika humu,ujue hicho kitendo kimeshamchoshaLakini wanaume nao akiamua kutokua mwaminifu, huwa wanatafuta kisingizio chenye nguvu ambacho watu watakielewa, ili badae ajidai nilifanya hivi kwa ajili ya hivi hata kama si kweli.
Nikweli unayosema, yote yanawezekana. Ila saingine na wake za watu hua wanajisahau, tena bahati huyo ni HG. Mh ngoja akutane na wadada wanao maanisha, akiingia tu kwako karibu, pole na kazi na foleni unakunywa nini, pumzika mzee anapewa na the guardian asome kidogo na mambo kibao mbona huyo mama atajua kumpokea mzee wake. Hajaibiwa bado, uvivu utageuka chapakazi, naona hajakutana na mi nguri.angalau huyu ameomba msaada,ujue amechoshwa na hizo tabia,na ame admit alichotaka kufanya kwa HG lakini hakukifanya.hiyo ni mifano tosha kuwa s.times na wao wanachoshwa na tabia ambazo wao hawazipendi kwa wake zao.na w.ume sio sana kulalamika nje,mpaka amelalamika humu,ujue hicho kitendo kimeshamchosha
Habari wana JF
Mwenzenu nimeoa (mke mfanyakazi) miaka mitatu iliyopita na kujaaliwa ka baby boy mmoja tu.
Tatizo langu ni, mke wangu kamwachia majukumu yooote msichana wa kazi! Kwa mfano, usafi wa nguo zangu, maandalizi ya chakula na kazi zote za nyumbani.
Hilo mimi sijali lakini najiuliza kuhusu hili, ninaporudi nyumbani na kifurushi mkononi hata kama mke wangu amekaa tu hana kazi yoyote atamwita msichana wa kazi na kumuamuru anipokee. Anaponipokea anasema, shikamoo baba......, pole........., karibu............., tena kwa unyenyekevu wa hali ya juu. Mke wangu desturi hiyo hanaa!!
Atakapoandaa chakula house girl huyu huyu ataninawisha mikono na kunikaribisha chakula kwa unyenyekevu mkubwa akisema `karibu chakula baba`. Wife wala habari hana, na siku akiandaa msosi wife atasema `Baba nanii....chakula tayari`.
Asubuhi chai napo ni vivyo hivyo, atapewa house girl viatu asafishe (kubrash) then atanirudishia na kunambia kwa utulivu, viatu tayari baba!!
Mbaya zaidi juzi nikamkuta chumbani kwetu kwenye bafu (master) anafulia huko huku wife akiwa amekaa barazani na wenzie wanapiga story. Nikamuuliza unafanya nini huku na kwa ruhusa ya nani, alinijibu kuwa mama kamwambia afulie nguo zetu kule (za mimi na wife) then afanye na usafi wa kule msalani na chumba kizima, pia nahisi alitakiwa afue hata nguo za ndani coz nilikuta zimelowekwa pale pale.
Kiukweli nilichukia sana na akili ilinituma nimchape kitu yule binti (ku-mdo) but ni busara tuu iliyoniepusha.
Nimejaribu kumrekebisha mara kadhaa ananisikia na kunielewa but anaonekana ni mvivu kutimiza wajibu wake. Wife ni msikivu sana but sielewi tatizo nini jamani.
Swali langu ni kwamba, wanaume wenzangu mnayarekebisha vipi mambo kama haya coz kikawaida hisia zinaweza kuhamia kwa binti kwa jinsi alivyoachwa kuwa karibu nami na hasa wife alivyojiweka mbali ili nisije zua balaa.
Asanteni sana
Habari wana JF
Mwenzenu nimeoa (mke mfanyakazi) miaka mitatu iliyopita na kujaaliwa ka baby boy mmoja tu.
Tatizo langu ni, mke wangu kamwachia majukumu yooote msichana wa kazi! Kwa mfano, usafi wa nguo zangu, maandalizi ya chakula na kazi zote za nyumbani.
Hilo mimi sijali lakini najiuliza kuhusu hili, ninaporudi nyumbani na kifurushi mkononi hata kama mke wangu amekaa tu hana kazi yoyote atamwita msichana wa kazi na kumuamuru anipokee. Anaponipokea anasema, shikamoo baba......, pole........., karibu............., tena kwa unyenyekevu wa hali ya juu. Mke wangu desturi hiyo hanaa!!
Atakapoandaa chakula house girl huyu huyu ataninawisha mikono na kunikaribisha chakula kwa unyenyekevu mkubwa akisema `karibu chakula baba`. Wife wala habari hana, na siku akiandaa msosi wife atasema `Baba nanii....chakula tayari`.
Asubuhi chai napo ni vivyo hivyo, atapewa house girl viatu asafishe (kubrash) then atanirudishia na kunambia kwa utulivu, viatu tayari baba!!
Mbaya zaidi juzi nikamkuta chumbani kwetu kwenye bafu (master) anafulia huko huku wife akiwa amekaa barazani na wenzie wanapiga story. Nikamuuliza unafanya nini huku na kwa ruhusa ya nani, alinijibu kuwa mama kamwambia afulie nguo zetu kule (za mimi na wife) then afanye na usafi wa kule msalani na chumba kizima, pia nahisi alitakiwa afue hata nguo za ndani coz nilikuta zimelowekwa pale pale.
Kiukweli nilichukia sana na akili ilinituma nimchape kitu yule binti (ku-mdo) but ni busara tuu iliyoniepusha.
Nimejaribu kumrekebisha mara kadhaa ananisikia na kunielewa but anaonekana ni mvivu kutimiza wajibu wake. Wife ni msikivu sana but sielewi tatizo nini jamani.
Swali langu ni kwamba, wanaume wenzangu mnayarekebisha vipi mambo kama haya coz kikawaida hisia zinaweza kuhamia kwa binti kwa jinsi alivyoachwa kuwa karibu nami na hasa wife alivyojiweka mbali ili nisije zua balaa.
Asanteni sana
kula zigo hilo... Halafu hujatueleza kama hg mzuri au vipi??
Kila la kheri kwenye kushiriki dhambi na kuvunja amri ya sita braza
badae
Huyo atakuletea uvivu mpaka kitandani..anza kuchakachua hg mapema! halafu pia umpige sopsop la nguvu apendeze kinyama kila anapopita ananukia tu mtoto anawaka! Halafu uone kama atapewa nafasi ya kukunawisha tena
kama wife hasikii....gonga hg!
nyie wababa na nyie mmezidi...
yaani ulitaka housegirl awepo na mkeo afanye kazi zote hizo???
sasa mliajiri housegirl wa nini???
kama kakunyima unyumba,au hajitengenezi ukirudi unamkuta yuko rough...ningeona basis ya malalamiko yako!
kwa sasa naona unatafuta tu excuse ya kutembea na huyo housegirl...shame on you!:twitch::twitch: