Tujadili: Dunia ya machale!!!!!!!!

Mmmmmmmmmmh!

Lara please, naamini wewe ni kati ya watu ambao huishi kimachale please share what is wrong with trusting another person apart from yourself?
 
snowhite njoo niulizie kwa The Boss lini ataanza nitrust with his heart maana mali najua ni never.
 
Last edited by a moderator:

yaani kuna hundred and one mifano ya hivyo kwa upande wa mali, lkn hata emotional machale ipo hasa kwa wababa. Usasikia wanaambizana "usimuoneshe mwanamke kuwa unampenda sana, atakusumbua" really? Matokeo yake anakuwa na mashaka na upendo wako kwake, n we both know nini kitatokea akimpata atakaye muonesha upendo.
 

….unajua, kwa #AfyaYaAkili yako mwenyewe, jitahidi kujizuia mambo ….kwa "kiasi" au #KiwangoMaalum.
Ukiendekeza sana haya #Machale kiasi kwamba #UnashindwaKuReason, utajikuta unakuwa "Mtumwa"
wa fikra ndio inazaa hizo Paranoia!

#Machale sio lazima yakutoe raha, ….yapo kwa ajili ya kukusaidia kukusukuma mpaka mwisho wa mpaka kabla
mambo hajajafikia #ThePointOfNoReturn!
 

Hapo umeongea bro, kila kitu iwe kwa kiasi. Hata kumuamini mtu basi iwe kwa kiasi, au amini lkn jua kwamba chochote chaweza tokea.
 
Reactions: Mbu
Lara please, naamini wewe ni kati ya watu ambao huishi kimachale please share what is wrong with trusting another person apart from yourself?

If a person takes advantage of your trust once SHAME ON HIM but twice dear, then its SHAME ON YOU definitely! In God we trust but in humans we speculate!
 
Ukipata mke wa hivyo fukuza kabisa hafai kuishi Na mume huyo Na pia hajali kwan Siku yoyote angemwacha mmewe
 
If a person takes advantage of your trust once SHAME ON HIM but twice dear, then its SHAME ON YOU definitely! In God we trust but in humans we speculate!

But what if l am taken advantage thrice but from three different people shame on who?
 
usaliti umesababisha watu waishi kwa machalemachale tu na wasiwasi wa huyu atanifanyia nini na lini
hii hali inaleta ubinafsi tu
kwangu mie ni heri nikamuamini tu mtu niwe na amani kuliko kukaa na wasiwasi muda mwingi
 
kweli
kiasi katika kila kitu ni bora
 
Reactions: Mbu
usaliti umesababisha watu waishi kwa machalemachale tu na wasiwasi wa huyu atanifanyia nini na lini
hii hali inaleta ubinafsi tu
kwangu mie ni heri nikamuamini tu mtu niwe na amani kuliko kukaa na wasiwasi muda mwingi[/QUOTE]

Me too my dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…