Tujadili abortion

Tujadili abortion

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,170
Reaction score
829,119
Japo kimekuwa ni chanzo cha mapato kwa madaktari na baadhi ya hospitali hapa nchini lakini hiki kitu ni kibaya na cha kikatili mno, kutoa uhai kwa asiyeweza kujitetea tena asiye na hatia

Mabinti na wanafunzi ni watoaji wakubwa wa mimba, wengine wanafanikiwa lakini wakiwa wameshaharibu vizazi vyao, wengine wanakufa
Huko magerezani kuna wafungwa wengi tu wenye kesi zinazohusiana na abortion

Tujadili sasa sababu, njia dawa na vituo vinavyohusika na unyama huu
 
,sababu ya haya yote ni ngonozembe..na nguvu inayowasukuma kufanya abortion ni wazazi,wazazi wengi huwa wanakuwa wakali na kushindwa kukubali matokeo..
Wanahesabu kama kupata mimba kwa binti kabla ya kuolewa ni aibu kwa familia..kwa kiasi kikubwa hili jambo limewafanya wasichana wengi kutoa mimba....
Ngoja kwanza ninywe chai nitarudi
 
abortion ni mauaji mzee. ukitaka tujadili abortion basi weka na mada ya kujadili kuua watu tukianza na wewe mwenyewe kama utakubali uuliwe. SHERIA KWA KISWAHILI

kwenye kitabu hicho nimeelezea namna sheria inavyoongelea suala hili la abortion, pamoja na sheria za ndoa nk. kila kitu kipo ndani ya kitabu hiki cha sheria za kifamilia. bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 
kati ya 10 ,7 wamewahi ku abort, recent statistics zinaonyesha tatizo ni 1.Tamaa 2.Usaliti wa kimapenzi 3.Umalaya 4.wanaume wanokataa mimba 5.malengo ya kimasomo

NB: HADI WALIOKO NDANI YA NDOA WANA ABORT...........TULIJADILI SUALA HILI KUMTAMBUKA TUKIZINGATIA NA HII(HADI WALIOOA WANA ABORT) WHY?? FOR ME WANAWAKE NA WANAUME WAFUNDISHWE ELIMU YA UZAZI ,VIA NA MPANGO (FAMILY PLANNING)THATS THE ONLY PROBLEM
 
...
Uoga na kukosa msimamo.,baadhi ya wasichana wamefanya abortion kutokana na uoga wa maisha,hii inatokea sana pale mwenye mimba anapokataa kuwa responsible.. Hapa kuna mawili either mwenye mimba hayupo tayari kulea or binti alikua na wapenzi wengi hivyo anakosa suport ya moja kwa moja kutoka kwa mwanaume...
 
natamani dogo mmoja nanitwa Luta angetokea hapa angetupa majibu mzuri mno
 
Abortion is crime...!just like any other crime...we should stop it!!!!
Angalia documentary iitwayo silent scream, uone jinsi mtoto ndani ya mfuko wa uzazi anavyojaribu bila mafanikio kuukimbia na kuukwepa mkasi wa daktari anayetaka kumwangamiza...!it is so sad kwakweli
 
kati ya 10 ,7 wamewahi ku abort, recent statistics zinaonyesha tatizo ni 1.Tamaa 2.Usaliti wa kimapenzi 3.Umalaya 4.wanaume wanokataa mimba 5.malengo ya kimasomo

NB: HADI WALIOKO NDANI YA NDOA WANA ABORT...........TULIJADILI SUALA HILI KUMTAMBUKA TUKIZINGATIA NA HII(HADI WALIOOA WANA ABORT) WHY?? FOR ME WANAWAKE NA WANAUME WAFUNDISHWE ELIMU YA UZAZI ,VIA NA MPANGO (FAMILY PLANNING)THATS THE ONLY PROBLEM
this doesnt sound realistic. wamechukua sample ipi?
 
^^
Kila mwanadamu ni fundi wa kujiandalia majuto yake,waonao mbele huvumilia kuchekwa kwa muda ili waheshimiwe daima
^^
 
Walio wengi hasa mabinti wanafanya ivo ili wasipoteze fassion!
 
Walio wengi hasa mabinti wanafanya ivo ili wasipoteze fassion wakaja kukosa wa kuwaoa!
 
Back
Top Bottom