alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Tusali ndugu zangu. Kama kuna sehemu tumemkosea Mungu/ Allah atusamehe. Sio kwa ubaya ndugu zangu na nisieleweke vibaya.
Tuombe hofu ya Mungu itawale kwa watu wote, upendo, uwajibikaji. Muhimu hofu ya mungu itawale. Utawala bora uwe huru na haki kwetu sote.
Ndugu zangu tusali kwa imani zetu ili nchi yetu iwe na ustawi bora wenye kujali utu, uadilifu, matumizi bora ya rasilimali kwa watu wote na kwa usawa usio na mawaa.
Ni muhimu na ni vyema kukumbushana. Tusali sana ndugu zangu watanzania. Mambo mengi yanayoendelea yanahitaji mkono wa mungu uonekane.
Nasema hivi mwenye sikio na asikie. Tuipende nchi yetu, tuwe wazalendo na tuchape kazi. But tusali.
Ameen
Tuombe hofu ya Mungu itawale kwa watu wote, upendo, uwajibikaji. Muhimu hofu ya mungu itawale. Utawala bora uwe huru na haki kwetu sote.
Ndugu zangu tusali kwa imani zetu ili nchi yetu iwe na ustawi bora wenye kujali utu, uadilifu, matumizi bora ya rasilimali kwa watu wote na kwa usawa usio na mawaa.
Ni muhimu na ni vyema kukumbushana. Tusali sana ndugu zangu watanzania. Mambo mengi yanayoendelea yanahitaji mkono wa mungu uonekane.
Nasema hivi mwenye sikio na asikie. Tuipende nchi yetu, tuwe wazalendo na tuchape kazi. But tusali.
Ameen