That true mkuu,kuna hawa vijana wa udsm,IFM,IAA na mzumbe,hadi wamekua kero humu jf
haina haja ya kujitutumua katika taasisi yako ya elimu ya juu,cha msingi ni kupata maarifa na kwenda kuyafanyia kazi kwa maslahi ya taifa kwa ujumla bila kujali huyu tulisoma nae IAA,MUCCOBS au TEKU.
Wakikua wataacha!!.
That true mkuu,kuna hawa vijana wa udsm,IFM,IAA na mzumbe,hadi wamekua kero humu jf
we unafikili basi watoto? Ni swala la kutojitambua na inaonyesha elimu zao hazijawajenga kabisa.
Suala sio chuo bali ni alichopata huko alikosoma. Kuna watu wanajifanya wamesoma vyuo bora ila ukimpa kazi ya kufanya anatafuta visingizio. Oh naumwa, oh nina mgonjwa oh naharisha. Full aibu. Tunawaona mitaani huku
Mkuu utanivunja mbavu!!
Eti naharisha! Kisa ameogopa kazi? Yaani kuna hivi vyuo wanavyoviita bora yaani hakuna lolote! Kuna siku tumemwita mwananchi mmoja kwenye "interview" kutoka chuo hicho maarufu yaani alitutia aibu (wa-TZ) ni mwisho, ukizingatia tulikuwa na ma-boss kutoka Kenya yaani ilikuwa kituko niliona aibu utafikiri mimi ndo nilikuwa mhusika! Mtu hawezi hata kuunga sentensi ikaeleweka?
Nafikiri wakati umefika waache majigambo! Hawaioni mijamaa ya SUA imetulia lakini ikiingia kwenye mzigo ni kazi kweli kweli!
Mimi sidhani kama chuo ndo kinamfanya mtu awe mwajibikaji mzuri katika kazi, hapa ni mtu mwenyewe kujitambua na kujua uwezo wako ukoje hivyo sioni umuhimu wa kuvisifia baadhi ya vyuo hapa tz
Mimi sidhani kama chuo ndo kinamfanya mtu awe mwajibikaji mzuri katika kazi, hapa ni mtu mwenyewe kujitambua na kujua uwezo wako ukoje hivyo sioni umuhimu wa kuvisifia baadhi ya vyuo hapa tz
ndiyo nami nimo na sioni tatizoThat true mkuu,kuna hawa vijana wa udsm,IFM,IAA na mzumbe,hadi wamekua kero humu jf
umaarufu wao uko kwenye migomo na sifa za kijinga tu..
leo Nyambari nimeyapenda madesa yako. Tujadili mstakabali wa kulikomboa Taifa linaloangamia kwa wasomi kukosa maarifa zaidi kukaa na kutunishiana misuli kwa mitaa juu ya vyuo tulivyosoma utadhani ndilo suluhisho la kuikomboa nchi yetu ambayo wanafaidi wachache ni ukosefu wa Taaluma. Maendeleo ya nchi hii hajaletwa na waliosoma Udsm, Sua, mzumbe, Muhas, teku, Herbert kairuki, Ifm, tia, Iaa nk bali na wote ambao hawakusoma na waliosoma katika vyuo vyetu. Hayo mambo ya nilisoma Ilboru nikawa T.O hatuhitaji. Tunataka umechango gani hasi kwa maendeleo ya Taifa. Mbona WAHASIBU Wengi ndo wezi kuhujumu pesa za Halmashauri zetu ambazo ni kodi za wananchi ambao ni walalahoi (CHEAPJOHNS) je tuvilaumu vyuo walivyopitia wahasibu hao kama IAA, TIA, IFM nk? Yepi mawazo yako juu ya hili? Nawasilisha