Tuhuma za Ughaidi, CCM tusipuuzie

Tuhuma za Ughaidi, CCM tusipuuzie

newz alert:MAKAMANDA WE ARE LESS CONCERN ON THIS LETS PASS LIKE A SHADOW AND LEAVE THE ROOM TO THE FAILURES MAGAMBAZ.
 
Madevu alimlengesha demu kwa jamaa na alipoingia laini wakati wana kuchikuchi madevu kwa kutumia wakala wake akampiga picha za video!.....NDEVU NOMA YA TAIFA
 
Mbinu ambazo zimekuwa zikitumika kuidhibiti chadema imegeuka silaha hatari dhidi ya ccm. Ndugu yangu mwigulu, tuliyenaye kundi la Lowassa inabidi achunguzwe na hata kushtakiwa binafsi ili kulinusuru chama. Mwigulu amefika hatua kuanza kuwafanyia wana ccm ughaidi. Kisiri anapambana na Membe, Sita pamoja na Nape, ambaye tayari ameshatayarisha video ya kumsulubu. Hizi ni tabia saa kighaidi. Tusizipuuze ili kulinusuru chama.
hata waliotupa bomu soweto watatajana tu, malipo ni hapahapa duniani
 
Kws hiyo Nape anasubiri kuvuliwa gamba!!!? maccm kiboko,Nape nikufundishe dawa ya kujibu hilo fanya mpango na wewe warekodi video Mwigulu na Shonza kama waliyokurekodi wewe,halafu tuletee JF.Utakuwa umemaliza mchezo.
 
Mbinu ambazo zimekuwa zikitumika kuidhibiti chadema imegeuka silaha hatari dhidi ya ccm. Ndugu yangu mwigulu, tuliyenaye kundi la Lowassa inabidi achunguzwe na hata kushtakiwa binafsi ili kulinusuru chama. Mwigulu amefika hatua kuanza kuwafanyia wana ccm ughaidi. Kisiri anapambana na Membe, Sita pamoja na Nape, ambaye tayari ameshatayarisha video ya kumsulubu. Hizi ni tabia saa kighaidi. Tusizipuuze ili kulinusuru chama.

Mlidhani mkiifanyia ugaidi chadema, nyie MaCCM mtabaki salama. Hii dhambi ya umwagaji damu za wananchi wasio na hatia ni lazima iwatafune, na 2015 ni lazima msambaratike kwa laana ya Mungu. Na mimi naomba iwe hivyo- MaCCM yasambaratike.

:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange: CCM Hoyiii
 
Back
Top Bottom