nahapo aseme hilo jina nilabandia big up kilewomkuu nilikuambia nitakuanika iliwatu waendelee kukufahamu kuwa wewe ni kilaza na tayari wamekwisha kukufahamu kuwa ni kilaza kweli kweli umeishiwa hoja unaongea siasa za maji taka, hii ngoma huiwezi tuachie sisi wanyamwezi dogo, nenda taratibu CDM haivamiwa hovyo hovyo kama unavyodhani, wenzako walijaribu wakashindwa sasa wanatafuta njia ya kila na mmna ya kujirudi ndani ya chama ila amepoteza faith ndani na nje ya chama, anatamani kuondoka hata kesho ila hana pakwenda kwakuwa CDM ndicho chama kilicho na sera bora kuliko sera za chama chochote kile...
kwahayo dogo CDM imekuzwa kwagharama sana hatuta ruhusu wajinga kama nyie kuiua CDM kwani cdm ni zaidi hata ya maisha yetu..