bendaki
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 952
- 346
Sasa hili la wizi wa kura nyakati wa chaguzi mbali mbali naona ni kweli. Kama sio kweli mbona hakuna maelezo yakuzikana tuhuma hizo? Pamoja na ujasiri wa Nape na Kinana kujua kusema hawajatoka hata mara moja kuzungumzia janjajanja zinazofanyika wakati wa chaguzi. Ikoje hii?