Tuhuma Vs Amani

Tuhuma Vs Amani

View attachment 3514828

My people,​



Tuchukulie kwa mfano ndege za Air Tanzania ni za kigogo mmoja wa Serikali, je hii itaathiri vipi maisha yako?

Tuchukulie kwamba mtoto mmoja wa namba one anamiliki matoy makali nyumbani kwake,je wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au songwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Halafu

Endapo kuna lockdown sasa hivi ya wiki moja au mbili,wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au sogwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Najua kwa wasio chukua muda kutafakari hawatanielewa kwa mifano hii nataka kueleza nini hapa.

Kabla sijaendelea unashauriwa kama una hasira za karibu au una mihemko ya karibu basi lililo bora kwako ama pita kushoto usisome nyuzi zangu au niignore hutaweza kuniona tena

Kwasababu mabandiko yangu yatawakera sana mpaka mwishoni mwa mwaka,na si kwamba natukana watu au naandika mambo yasiyo na maadili laa,bali natofautiana na wengi wenu kimtazamo

Mifano hapo juu inaonyesha kwamba ama Kiongozi wa serikali kumiliki ile midege au mtoto wa namba one kumiliki matoy kwenye yard yake,, haya mambo hayata kuathiri wewe moja kwa moja ,kwakuwa una amani na uhuru wa kufanya shughuli zako za uchumi na kupata mkate wako wa kila siku


Lakini kama yakatokea machafuko na serikali ikaweka lockdown basi mimi na wewe maisha yetu yatabadilika mara moja,shughuli za uchumi zitasimama,hakuna movement,hakuna kwenda hospitali wala sokoni wala wapi..

Je kati ya viwili hivyo kipi ni cha kupiganiwa zaidi? Na kulindwa kwa wivu mkubwa?


Majibu unayo wewe!

Amani yetu ndio tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana, pinga harakati zote zinazo hatarisha amani ya nchi yetu

Na si kila mwenye kutuletea habari za uzushi na uongo mitandaoni tumkubali moja kwa moja,tujipe nafasi kujua ukweli wa habari hiyo kabla haijazua taharuki na kuleta madhara katika jamii

Tutaelewana mdogo mdogo

Ni hayo tu!
Akili kubwa , madini ya nguvu sana
 
View attachment 3514828

My people,​



Tuchukulie kwa mfano ndege za Air Tanzania ni za kigogo mmoja wa Serikali, je hii itaathiri vipi maisha yako?

Tuchukulie kwamba mtoto mmoja wa namba one anamiliki matoy makali nyumbani kwake,je wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au songwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Halafu

Endapo kuna lockdown sasa hivi ya wiki moja au mbili,wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au sogwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Najua kwa wasio chukua muda kutafakari hawatanielewa kwa mifano hii nataka kueleza nini hapa.

Kabla sijaendelea unashauriwa kama una hasira za karibu au una mihemko ya karibu basi lililo bora kwako ama pita kushoto usisome nyuzi zangu au niignore hutaweza kuniona tena

Kwasababu mabandiko yangu yatawakera sana mpaka mwishoni mwa mwaka,na si kwamba natukana watu au naandika mambo yasiyo na maadili laa,bali natofautiana na wengi wenu kimtazamo

Mifano hapo juu inaonyesha kwamba ama Kiongozi wa serikali kumiliki ile midege au mtoto wa namba one kumiliki matoy kwenye yard yake,, haya mambo hayata kuathiri wewe moja kwa moja ,kwakuwa una amani na uhuru wa kufanya shughuli zako za uchumi na kupata mkate wako wa kila siku


Lakini kama yakatokea machafuko na serikali ikaweka lockdown basi mimi na wewe maisha yetu yatabadilika mara moja,shughuli za uchumi zitasimama,hakuna movement,hakuna kwenda hospitali wala sokoni wala wapi..

Je kati ya viwili hivyo kipi ni cha kupiganiwa zaidi? Na kulindwa kwa wivu mkubwa?


Majibu unayo wewe!

Amani yetu ndio tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana, pinga harakati zote zinazo hatarisha amani ya nchi yetu

Na si kila mwenye kutuletea habari za uzushi na uongo mitandaoni tumkubali moja kwa moja,tujipe nafasi kujua ukweli wa habari hiyo kabla haijazua taharuki na kuleta madhara katika jamii

Tutaelewana mdogo mdogo

Ni hayo tu!
Pole sana mkuu
 
Je, ni awamu hii tu ndio haya ya viongozi kumiki mali mbali mbali limekuwa jambo jipya

My point,hayo yote uliyojaribu kugusia hapa yamekuwwepo miaka nenda rudi na sisi kama wananchi pamoja na rushwa,ufisadi na namna zote za uporaji wa rasimali za nchi hii,bado tuliendelea kuwa na amani na kuendelea na maisha yetu pamoja na changamoto Zale

Kwahiyo tusidanganyane hapa ili jambo leo ndio libebe headline

Sasa ishu inakuja hapa,pamoja na yote hayo bado mwananchi wa kawaida aliweza na anaendelea kuendesha maisha yake hivyo hivvyo japo kinyonge.

Lakini amani ikiondoka maisha hayatakuwa kama ambavyo tunayo sasa,huyu maskini wa watu atakosa hata hicho kidogo allichokuwa anapata na kibaya zaidi hata uhakika wa maisha na usalama wake hautakuwepo tena.

Amani ndio tunu yetu tuilinde kwa wivu mkubwa sana
Kuwa Muslim ni mtihani kwa tz

wengi wetu tuna elimu ya madrasa tu
 
Hizo huduma zimeanza kukosekana hii awamu ya sita pekee??

Nchi ina miaka 64 ya uhuru hukuandamana kudai hizo huduma,leo unajifanya unaziona ni jambo jipya

Hizi changamoto haziondoki kwa siku moja kama unanua mkate dukani
Hivi wewe una akili hata punje tu? Kwa hiyo kama haya matatizo yalikuwepo kipindi cha nyuma tunapaswa tuyakubali tu? Kwani hizo ndege na gari za kifahari zinanunuliwa kwa mavi yasiyokuwa na thamani? Huoni kwamba hizo fedha zinazotumika kununulia hizo ndege na magari ya kifahari zingeweza kupunguza haya matatizo ya ukosefu wa huduma bora za afya, madarasa bora, miundo mbinu etc? Wewe ni mpumbavu. I official ignore you maana nahangaika na taahira
 
Je, ni awamu hii tu ndio haya ya viongozi kumiki mali mbali mbali limekuwa jambo jipya

My point,hayo yote uliyojaribu kugusia hapa yamekuwwepo miaka nenda rudi na sisi kama wananchi pamoja na rushwa,ufisadi na namna zote za uporaji wa rasimali za nchi hii,bado tuliendelea kuwa na amani na kuendelea na maisha yetu pamoja na changamoto Zale

Kwahiyo tusidanganyane hapa ili jambo leo ndio libebe headline

Sasa ishu inakuja hapa,pamoja na yote hayo bado mwananchi wa kawaida aliweza na anaendelea kuendesha maisha yake hivyo hivvyo japo kinyonge.

Lakini amani ikiondoka maisha hayatakuwa kama ambavyo tunayo sasa,huyu maskini wa watu atakosa hata hicho kidogo allichokuwa anapata na kibaya zaidi hata uhakika wa maisha na usalama wake hautakuwepo tena.

Amani ndio tunu yetu tuilinde kwa wivu mkubwa sana
Interesting!!!
Kwa hivyo kosa likifanywa na mmoja au na wengi toka zamani inakuwa sawa kufanyika hivyo daima na wote wanaofuatia?
Two wrongs doesn't make it right.
Kwa hiyo unashauri tuendelee na makosa miaka yote au siyo?
There must be a beginning of something, and in this case we need to start a corruption free state with Samia's tenure.
 
Interesting!!!
Kwa hivyo kosa likifanywa na mmoja au na wengi toka zamani inakuwa sawa kufanyika hivyo daima na wote wanaofuatia?
Two wrongs doesn't make it right.
Kwa hiyo unashauri tuendelee na makosa miaka yote au siyo?
There must be a beginning of something, and in this case we need to start a corruption free state with Samia's tenure.
Simaanishi ni halali makosa yaendelee hapana

Sawa tuanze na Katiba kwanza ndio road map yetu iwawajibishe wahusika
 
Hivi wewe una akili hata punje tu? Kwa hiyo kama haya matatizo yalikuwepo kipindi cha nyuma tunapaswa tuyakubali tu? Kwani hizo ndege na gari za kifahari zinanunuliwa kwa mavi yasiyokuwa na thamani? Huoni kwamba hizo fedha zinazotumika kununulia hizo ndege na magari ya kifahari zingeweza kupunguza haya matatizo ya ukosefu wa huduma bora za afya, madarasa bora, miundo mbinu etc? Wewe ni mpumbavu. I official ignore you maana nahangaika na taahira
Hahah nilitoa angalizo awali huu mchezo hauhitaji hasira
 
Simaanishi ni halali makosa yaendelee hapana

Sawa tuanze na Katiba kwanza ndio road map yetu iwawajibishe wahusika
Kwani hamkuombwa tusimamishe uchaguzi kwa muda hadi tubadili katiba mkakataa?
Ingelikuwa watu hawamtaki Samia sababu mwanamke, mzanzibar au muislam wasingempa hiyo fursa ya kuendelea kuongoza wakati mchakato wa kubadili katiba ukiendelea.
Najua unatetea mambo ya hovyo sababu ya niliyo taja hapo juu. Sema unakwepa kuvitaja waziwazi kwa sababu maalum.
Kama angekubali mchakato wa Katiba angeendelea kutawala miaka karibu mitatu zaidi.
Kisha ungefanyika uchaguzi ambao pia alikuwa na nafasi ya kushinda na kuongezewa miaka 5 mingine.
Angekaa madarakani jumla miaka 7 hadi 12 kihalali kabisa.
Look at the situation now! She is almost isolated now by international community. Watu wamemtengenezea mtego wa kumchafua.
Naamini yeye hana roho ya kikatili kiasi cha kuuwa vijana wengi kama wale. Worse enough wameuwawa hadi wanawake na watoto wadogo chini ya miaka 16.
Samia ni mtu mzuri tu, ametengenezewa ajali na walafi wanaofaidika na upole wake.

Note: Sijamtaja (address) Mheshimiwa au Raisi Samia makusudi. Siyo kwamba simuheshimu hapana.
Nimetaka kumuelezea yeye kama personality yake au nafsi yake na uzuri wake nje ya dhamana ya cheo chake.
She is a good person.
 
Hii nchi ni ngumu kuiongoza kwakuwa Ina idadi ya wajinga wengi Mama hana tatizo kabisa


Kuwaongoza watu wajinga ni Kazi ngumu.
 
Wananchi wa daslamu wamechoma miundombinu ya maji mkoa mzima...wangelinda amani wangekuwa na maji ya kutosha🤣
 
View attachment 3514828

My people,​



Tuchukulie kwa mfano ndege za Air Tanzania ni za kigogo mmoja wa Serikali, je hii itaathiri vipi maisha yako?

Tuchukulie kwamba mtoto mmoja wa namba one anamiliki matoy makali nyumbani kwake,je wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au songwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Halafu

Endapo kuna lockdown sasa hivi ya wiki moja au mbili,wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au sogwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Najua kwa wasio chukua muda kutafakari hawatanielewa kwa mifano hii nataka kueleza nini hapa.

Kabla sijaendelea unashauriwa kama una hasira za karibu au una mihemko ya karibu basi lililo bora kwako ama pita kushoto usisome nyuzi zangu au niignore hutaweza kuniona tena

Kwasababu mabandiko yangu yatawakera sana mpaka mwishoni mwa mwaka,na si kwamba natukana watu au naandika mambo yasiyo na maadili laa,bali natofautiana na wengi wenu kimtazamo

Mifano hapo juu inaonyesha kwamba ama Kiongozi wa serikali kumiliki ile midege au mtoto wa namba one kumiliki matoy kwenye yard yake,, haya mambo hayata kuathiri wewe moja kwa moja ,kwakuwa una amani na uhuru wa kufanya shughuli zako za uchumi na kupata mkate wako wa kila siku


Lakini kama yakatokea machafuko na serikali ikaweka lockdown basi mimi na wewe maisha yetu yatabadilika mara moja,shughuli za uchumi zitasimama,hakuna movement,hakuna kwenda hospitali wala sokoni wala wapi..

Je kati ya viwili hivyo kipi ni cha kupiganiwa zaidi? Na kulindwa kwa wivu mkubwa?


Majibu unayo wewe!

Amani yetu ndio tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana, pinga harakati zote zinazo hatarisha amani ya nchi yetu

Na si kila mwenye kutuletea habari za uzushi na uongo mitandaoni tumkubali moja kwa moja,tujipe nafasi kujua ukweli wa habari hiyo kabla haijazua taharuki na kuleta madhara katika jamii

Tutaelewana mdogo mdogo

Ni hayo tu!
Uharo huu umefakamia mavitu gani!
 
Ume anza ungese kijana
Hata General katika vita ana retreat akiona amezidiwa ili kuokoa uhai wa wanajeshi na haendi vitani bila kufanya assessment ya uwezo wa mpinzani , uwezo wake na nyezo muhimu za vita kama silaha , idadi ya kikosi na chakula .

Mimi ni mhanga mkubwa wa serikali na sipendezwi nayo ila siwezi kuSuggest watu watoke front kizembe wakauwawe mwisho wa picha hakuna mabadiliko yeyote . Siwezi kusapoti njia ambayo ina risk kubwa ya kuondoka na maelfu ya watu na kusababisha hasara kubwa bila matokeo chanya.

Mimi naunga na MALCOM LUMUMBA na Kiranga ambao waliwahi kusema mabadiliko sio njia ya shortcut .
 
Hata General katika vita ana retreat akiona amezidiwa ili kuokoa uhai wa wanajeshi na haendi vitani bila kufanya assessment ya uwezo wa mpinzani , uwezo wake na nyezo muhimu za vita kama silaha , idadi ya kikosi na chakula .

Mimi ni mhanga mkubwa wa serikali na sipendezwi nayo ila siwezi kuSuggest watu watoke front kizembe wakauwawe mwisho wa picha hakuna mabadiliko yeyote . Siwezi kusapoti njia ambayo ina risk kubwa ya kuondoka na maelfu ya watu na kusababisha hasara kubwa bila matokeo chanya.

Mimi naunga na MALCOM LUMUMBA na Kiranga ambao waliwahi kusema mabadiliko sio njia ya shortcut .

Hao diaspora ni kundi la wajinga ndo wamekuwa wakisema GEN Z waandamane na kuwarisha taarifa fake .
 
OP kbs kwann mnabadil malalamiko ya wananchi ?

Amani haiji kwa kuacha watu waendelee kutekwa , au mnauza viungo vya watu ?
View attachment 3514828

My people,​



Tuchukulie kwa mfano ndege za Air Tanzania ni za kigogo mmoja wa Serikali, je hii itaathiri vipi maisha yako?

Tuchukulie kwamba mtoto mmoja wa namba one anamiliki matoy makali nyumbani kwake,je wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au songwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Halafu

Endapo kuna lockdown sasa hivi ya wiki moja au mbili,wewe mwananchi wa buza,mbagala,chanika au sogwe huko unaathirika vipi kwa kipindi hiki

Najua kwa wasio chukua muda kutafakari hawatanielewa kwa mifano hii nataka kueleza nini hapa.

Kabla sijaendelea unashauriwa kama una hasira za karibu au una mihemko ya karibu basi lililo bora kwako ama pita kushoto usisome nyuzi zangu au niignore hutaweza kuniona tena

Kwasababu mabandiko yangu yatawakera sana mpaka mwishoni mwa mwaka,na si kwamba natukana watu au naandika mambo yasiyo na maadili laa,bali natofautiana na wengi wenu kimtazamo

Mifano hapo juu inaonyesha kwamba ama Kiongozi wa serikali kumiliki ile midege au mtoto wa namba one kumiliki matoy kwenye yard yake,, haya mambo hayata kuathiri wewe moja kwa moja ,kwakuwa una amani na uhuru wa kufanya shughuli zako za uchumi na kupata mkate wako wa kila siku


Lakini kama yakatokea machafuko na serikali ikaweka lockdown basi mimi na wewe maisha yetu yatabadilika mara moja,shughuli za uchumi zitasimama,hakuna movement,hakuna kwenda hospitali wala sokoni wala wapi..

Je kati ya viwili hivyo kipi ni cha kupiganiwa zaidi? Na kulindwa kwa wivu mkubwa?


Majibu unayo wewe!

Amani yetu ndio tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana, pinga harakati zote zinazo hatarisha amani ya nchi yetu

Na si kila mwenye kutuletea habari za uzushi na uongo mitandaoni tumkubali moja kwa moja,tujipe nafasi kujua ukweli wa habari hiyo kabla haijazua taharuki na kuleta madhara katika jamii

Tutaelewana mdogo mdogo

Ni hayo tu!
 
Back
Top Bottom