kwasas hujaona utekaj ?, ufisad ? Uvunjaj wa katiba ? mauaji ? uchafuz wa uchaguz ?Ukweli machungu watu Wanataka shortcut baada ya kuangalia mizizi.
Fikiria hawa watu (Wanaharakati uchwara) waliombea Magu afe kwamba kifo chake ndio mwisho wa matatizo haya Magu akafa wakafurahi na kumdhihaki Kisha kumsifu mpya ili kuwakera Team Magu wakaendelea hivyo sasa kibao kimegeuka wanaombea yatokee yale yale yaani shortcut katika jambo lenye mizizi kwa miaka kibao kwa mihemko bila kufikiri kisawasawa.
Hv kama mtu umechaguliwa kwa 98% kwann influence hiyo usiitumie kuwaelimisha raia wanaokupenda ili diaspora wasidanganye umma ?