Mdaiwa-Sugu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 284
- 910
Huyu ni DED wa wilaya ya Karatu. Anaitwa Waziri Morice.
Ananyanyasa sana watumishi wa Serikali katika wilaya yake na anavyowanyanyasa anatamba kuwa anaweza kuwafanya chochote na watumishi hao wasimfanye chochote wala kumpeleka popote.
Baadhi ya Mambo ambayo amekuwa akiyafanya:
1. Amekuwa akiwapiga baadhi ya watumishi hasa WALIMU makofi, ngumi, na wakati mwingine kwa kuvua mkanda na kuwatandika nao.
2. Amekuwa akiwadhalilisha WATUMISHI kwa lugha chafu hasa pale wanapodai maslahi yao.
3. Amekuwa akiwahamisha watumishi vituo vya kazi bila kuwalipa stahiki zao.
4. Amekuwa akiwafungia baadhi ya watumishi Mishahara kwa muda anaotaka bila kuzingatia
sheria za UTUMISHI WA UMMA. Imagine mtumishi anafanya kazi zaidi ya miezi mitano bila mshahara kisa mtu kaamua tu kumkomoa.
5. Amekuwa akiwanyima kwa makusudi watumishi wa Serikali kujiendeleza kielimu kwani hataki wawe na Elimu kumzidi lakini pia watumishi wengi wamekuwa wakitumia mwanya wa kwenda kusoma kuondoka na kutorudi WILAYA YA KARATU baada ya masomo kwa kukwepa manyanyaso ya DED. Kwa hivyo DED ameamua kuwakomesha kwa kuwanyima fursa za kujiendeleza kielimu.
6. Amekuwa akiwanyima watumishi UHAMISHO kutoka Karatu kwenda nje ya Karatu kwa makusudi hata kama wanastahili kuhama.
7. Amekuwa akitamba waziwazi kuwa amechakachua Uchaguzi MKUU wa 2020 na kulazimisha ushindi wa aliyekuwa mgombea wa CCM aitwaye DANIEL AWACK kwa kupora haki ya aliyekuwa mgombea wa CHADEMA aitwaye CESSILIA PARESSO.
10. Amewafungia wafanya biashara zaidi ya 300 MADUKA na biashara zingine kwa kigezo cha wafanyabiashara hao kushindwa kulipa kwa wakati KODI ya Tsh.50,000/=. Imagine mtu anafungiwa biashara ambayo ndio anategemea kulisha familia yake.
NB: Watumishi wengi wa UMMA na wafanyabiashara wa wilaya ya Karatu wamekata tamaa na wengine wanaacha kazi na kufunga biashara zao kwa sababu ya huyu DED na kwa bahati mbaya amekuwa akilalamikiwa lakini mamlaka husika hazijawahi kumchukulia hatua.
Ananyanyasa sana watumishi wa Serikali katika wilaya yake na anavyowanyanyasa anatamba kuwa anaweza kuwafanya chochote na watumishi hao wasimfanye chochote wala kumpeleka popote.
Baadhi ya Mambo ambayo amekuwa akiyafanya:
1. Amekuwa akiwapiga baadhi ya watumishi hasa WALIMU makofi, ngumi, na wakati mwingine kwa kuvua mkanda na kuwatandika nao.
2. Amekuwa akiwadhalilisha WATUMISHI kwa lugha chafu hasa pale wanapodai maslahi yao.
3. Amekuwa akiwahamisha watumishi vituo vya kazi bila kuwalipa stahiki zao.
4. Amekuwa akiwafungia baadhi ya watumishi Mishahara kwa muda anaotaka bila kuzingatia
sheria za UTUMISHI WA UMMA. Imagine mtumishi anafanya kazi zaidi ya miezi mitano bila mshahara kisa mtu kaamua tu kumkomoa.
5. Amekuwa akiwanyima kwa makusudi watumishi wa Serikali kujiendeleza kielimu kwani hataki wawe na Elimu kumzidi lakini pia watumishi wengi wamekuwa wakitumia mwanya wa kwenda kusoma kuondoka na kutorudi WILAYA YA KARATU baada ya masomo kwa kukwepa manyanyaso ya DED. Kwa hivyo DED ameamua kuwakomesha kwa kuwanyima fursa za kujiendeleza kielimu.
6. Amekuwa akiwanyima watumishi UHAMISHO kutoka Karatu kwenda nje ya Karatu kwa makusudi hata kama wanastahili kuhama.
7. Amekuwa akitamba waziwazi kuwa amechakachua Uchaguzi MKUU wa 2020 na kulazimisha ushindi wa aliyekuwa mgombea wa CCM aitwaye DANIEL AWACK kwa kupora haki ya aliyekuwa mgombea wa CHADEMA aitwaye CESSILIA PARESSO.
10. Amewafungia wafanya biashara zaidi ya 300 MADUKA na biashara zingine kwa kigezo cha wafanyabiashara hao kushindwa kulipa kwa wakati KODI ya Tsh.50,000/=. Imagine mtu anafungiwa biashara ambayo ndio anategemea kulisha familia yake.
NB: Watumishi wengi wa UMMA na wafanyabiashara wa wilaya ya Karatu wamekata tamaa na wengine wanaacha kazi na kufunga biashara zao kwa sababu ya huyu DED na kwa bahati mbaya amekuwa akilalamikiwa lakini mamlaka husika hazijawahi kumchukulia hatua.