Tuheshimu sana Mitandao ya Kijamii kwasababu uwekezaji wake ni wa gharama kubwa sana

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,353
2,351
Ndugu zangu nataka niwambie ukweli kuwa mimi nina ujuzi kubwa juu ya mitandao ya Kijamii na ni mzoefu mkubwa wa mitandao ya kijamii na mara kadhaa nimekuwa nikisaidia badhi ya kampuni kudesign muonekano wa mitandao yao, nafahamu kwa undani kabisa kwanzia muundo na hata uwekezaji wake hivyo basi nina kila sababu ya kusema kuwa tunapaswa kuheshimu sana mitandao ya kijamii kwasababu uwekezaji wake ni mkubwa sana

Ukiwa mmiliki wa kawaida wa mtandao wa kijamii angalao basi kwa mwezi uwe na kiasi si chini ya 2million kwaajili ya kulipa bill zako ambapo kwa mwaka unaweza kufikia kiasi kisichopungua 10M huo ni uwekezaji wa software yako pia kuna gharama za kodi ya jengo la kuendeshea huduma yako (physical address) ikwemo bill za umeme maji, usafi, ulinzi, mishahara ya wafanyakazi wako ambapo kwa mwaka makadirio ya chini ni kiasi kisichopungua 20M

Kwa uwekezaji mdogo katika mchanganuo huu ni kwamba kumiliki mtandao wa kijamii ni jambo zito ambapo mmiliki analazimika kulipa kiasi si chini ya 30M kwa mwaka

Huu ni mchanganuo wa mmiliki wa kawaida lakini kuna mchanganuo wa wamiliki wakubwa ikiwemo Meta inayomiliki Facebook, Instagram, Threads na WhatsApp, X, TikTok, Snapchat na wengineo ambapo makadirio ya bill zao kwa mwaka si chini ya $1,000,000usd kwa mwaka

Kulingana na mchanganuo huu mfupi tunaona kuwa namna gani tunapaswa kuthamini na kuheshimu mitandao ya kijamii kwa uwekezaji mkubwa unaofanywa na hawa wamiliki ikiwemo Mark Zuckerberg, Elon Musk, Zhang Yiming, Evan Thomas Spiegel, Maxence Melo
 
JF itoe hapo, inapumulia mashine,

Na huku ulisema nini

 
JF itoe hapo, inapumulia mashine,

Na huku ulisema nini

JF iko vizuri sana wamefanya uwekezaji mkubwa sana, Elon Musk hana ujuzi wa maswala ya mitandao
 
Ndugu zangu nataka niwambie ukweli kuwa mimi nina ujuzi kubwa juu ya mitandao ya Kijamii na ni mzoefu mkubwa wa mitandao ya kijamii na mara kadhaa nimekuwa nikisaidia badhi ya kampuni kudesign muonekano wa mitandao yao, nafahamu kwa undani kabisa kwanzia muundo na hata uwekezaji wake hivyo basi nina kila sababu ya kusema kuwa tunapaswa kuheshimu sana mitandao ya kijamii kwasababu uwekezaji wake ni mkubwa sana

Ukiwa mmiliki wa kawaida wa mtandao wa kijamii angalao basi kwa mwezi uwe na kiasi si chini ya 2million kwaajili ya kulipa bill zako ambapo kwa mwaka unaweza kufikia kiasi kisichopungua 10M huo ni uwekezaji wa software yako pia kuna gharama za kodi ya jengo la kuendeshea huduma yako (physical address) ikwemo bill za umeme maji, usafi, ulinzi, mishahara ya wafanyakazi wako ambapo kwa mwaka makadirio ya chini ni kiasi kisichopungua 20M

Kwa uwekezaji mdogo katika mchanganuo huu ni kwamba kumiliki mtandao wa kijamii ni jambo zito ambapo mmiliki analazimika kulipa kiasi si chini ya 30M kwa mwaka

Huu ni mchanganuo wa mmiliki wa kawaida lakini kuna mchanganuo wa wamiliki wakubwa ikiwemo Meta inayomiliki Facebook, Instagram, Threads na WhatsApp, X, TikTok, Snapchat na wengineo ambapo makadirio ya bill zao kwa mwaka si chini ya $1,000,000usd kwa mwaka

Kulingana na mchanganuo huu mfupi tunaona kuwa namna gani tunapaswa kuthamini na kuheshimu mitandao ya kijamii kwa uwekezaji mkubwa unaofanywa na hawa wamiliki ikiwemo Mark Zuckerberg, Elon Musk, Zhang Yiming, Evan Thomas Spiegel, Maxence Melo
Maelezo yako yanaonyesha bila shaka huna uzoefu unaodai unao. Yani insta na FB eti unawaza hata kusema bill zake ni kama dola milion 1 kwa mwaka hiyo pesa ndogo sana. Umeme tu wa kuyarun na kuyapoza yale ma server ni zaidi ya hiyo bill. Bado hujaweka wafanyakazi na engineers. Wanalipa pesa nyingi mno na ndio maana nao wanaingiza pesa nyingi mno. Halafu vitu ulivyo vimention hata layperson angevitaja
 
Ile uwekezaji wake ni mrahisi
Ni mrahisi bongo ambapo developer anakwambia nipe mls 3 nijifungue room kwangu riverside nikutengenezee. Lakini kwa wenzetu unaona wanakusanya milions of dollars kufanya hivyo.
 
Maelezo yako yanaonyesha bila shaka huna uzoefu unaodai unao. Yani insta na FB eti unawaza hata kusema bill zake ni kama dola milion 1 kwa mwaka hiyo pesa ndogo sana. Umeme tu wa kuyarun na kuyapoza yale ma server ni zaidi ya hiyo bill. Bado hujaweka wafanyakazi na engineers. Wanalipa pesa nyingi mno na ndio maana nao wanaingiza pesa nyingi mno. Halafu vitu ulivyo vimention hata layperson angevitaja
Sikukurupuka kuandika, nimeishi Marekani muda mrefu nikifanya kazi hii
Nimeongea kwa lugha rahisi ili wasiokuwa wasomi wanelewe pia ndio maana lugha yangu haikuwa ya kitaalamu
 
Back
Top Bottom