Tuhabarishe mwenendo wa kesi ya ZOMBE

Kenge (Eng)

JF-Expert Member
Dec 7, 2006
543
156
Jamani tunaomba nyie mliopo DAR mwendelee kutupa nyepesi za kesi hiyo kwani hakuna update baada ya 12/02/2009 baada ya BAGEN. tuendelee kwani tuna shauku ya kusikia wasemanyo watuhumiwa wengine, hakuna habari za MAKELE nadhani bado yupo kizimbani leo.
 
Back
Top Bottom