Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Jamani tunaomba nyie mliopo DAR mwendelee kutupa nyepesi za kesi hiyo kwani hakuna update baada ya 12/02/2009 baada ya BAGEN. tuendelee kwani tuna shauku ya kusikia wasemanyo watuhumiwa wengine, hakuna habari za MAKELE nadhani bado yupo kizimbani leo.