Tufanye jee kurudisha hadhi ya kiume?

ukubwa wa pua si wingi wa makamasi na ukubwa wa mat..ko si wingi wa mavi.mambo yote tembe bwana hakuna kingine zote hizo blah blha!!
 
Nitake radhi belinda mi sio bonge na katika vitu ambavyo navipinga ni ubwanyenye,hivi ukimwona mtu mtaani bonyebonye unajua shughuli haiwezi na usikubali stor za kuambiwa embu tafuta kibongee mmoja piga nae game alafu uje unipe ripoti
Nawaona wengi mitaani walivyo bonye bonye pia storiz na watu wa karibu walioolewa..inaelekea na wewe ni mmoja ya wanaume mibonge, hebu zingatia afya na shughuli uiweze ili mamsapu akufurahie uaname wako.
 
hakuna mwanaume aneyefurahi kutomrdhisha mwandani wake...
Cha msingi kwa wanaume,be care na ua daily routin...dont lyk chips na unasema umekula bal inakula kwako taratibu...too much alcohol ni poison also physical fitness is rquired(mwil mkubwa co physical ftness).
Kabla ya mchezo mak sure uko tayar kufanya hvyo....then muandaye 4 long as u can...cha msingi ni mawasiliano wakat wa tendo...na ujtambue.
Ni hayo wana JF.
 
Nitake radhi belinda mi sio bonge na katika vitu ambavyo navipinga ni ubwanyenye,hivi ukimwona mtu mtaani bonyebonye unajua shughuli haiwezi na usikubali stor za kuambiwa embu tafuta kibongee mmoja piga nae game alafu uje unipe ripoti

Kumradhi mkuu J 20A. Kumbe wewe umejengeka eeh?! hakikisha huwi bwanyenye!
Nitatafuta bonge bonge halafu nikupatie ripoti..siyo leo wala kesho lakini.
 
Nitazingatia hilo ili wifi yako aendelee kupata burudani,mbona unasema sio leo wala kesho iyo ripot si itachelewa sana
Kumradhi mkuu J 20A. Kumbe wewe umejengeka eeh?! hakikisha huwi bwanyenye!
Nitatafuta bonge bonge halafu nikupatie ripoti..siyo leo wala kesho lakini.
 
Tuache kushindia urojo, mbogamboga na mikate, na kunywa bia zisizo na idadi
 
Nitazingatia hilo ili wifi yako aendelee kupata burudani,mbona unasema sio leo wala kesho iyo ripot si itachelewa sana

Maisha yenyewe haya muhimu kuwa mwangalifu mpaka nimpate, tuchunguzane na kuduu si chini ya miezi kadhaa. Ila ripoti utapata, uwe mvumilivu tu!
 
Huyo mume anarudi saa ngapi nyumbani, akitoka job anapitia kuonana na washkaji kwenye vijiwe vyenu akitoka hapo jajishibia minyama na biaz. Anafika nyumbani ni kukoroma, ameamka asubuhi kawahi kazini. Weekends ndiyo usiseme mipira na washkaji kwenye ratiba hawakosekani..Eeew ile miili ya wanaume wa siku hizi inakera!
Halafu huwezi kufanya mazoezi kama huzingatii unachokula. ni kazi bure!

Well kama una mme wa hivo uliyataka mwenyewe.
Lazima ulipo kutana nae ulijua anafanya yote hayo.
It's worse kama kayaanza mkiwa wote maana wewe ndo utakua sababu.

So,it always start with you ladies.
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,....(kwenye nyumba weka mme)
na mwanamke mpumbavu huivunja mwenyewe.
 
Unaogopa nini binti vitendea kazi si vipo bana,iyo ya kukaa miezi kadhaa bila ku duu kama ni mimi ingenishinda vinginevyo labda nipewe ahadi kabisa kwamba mzigo upo kwenye box haujawahi kufunguliwa naweza nikawa na subira kwasababu albamu nitazindua mimi
Maisha yenyewe haya muhimu kuwa mwangalifu mpaka nimpate, tuchunguzane na kuduu si chini ya miezi kadhaa. Ila ripoti utapata, uwe mvumilivu tu!
 
Epuka kula junk foods na vyakula vingi vya supermarkets (vingi ni GMOs ambazo zina madhara sana kwa afya ya mwanadamu).

Tumia karanga mbichi,asali,maziwa ya mgando,matunda,mboga za majani,karoti et al. katika milo yako yote.

Epuka kula vyakula vyenye mafuta mengi (haswa vyenye mafuta ya kutokana na wanyama). Ukiweza tumia sunflower oil na vizuri kabisa,tumia olive oil.

Epuka kula read meat sana,nyama ya ng'ombe na mbuzi sana. Ni heri nyama nyekundu ya pori kuliko hizo. Tumia white meat kama mbadala. Ila husiendekeze sana nyama hata hiyo nyeupe!

La msingi zaidi fanya mazoezi (ukiweza kila siku,angalau kwa nusu saa). Unaweza fanya aidha asubuhi kabla ya kwenda kwenye mihangaiko au jioni baada ya kutoka kwenye mihangaiko.
Naelewa watu wa DSM watasema hawana muda kutokana na kuamka kwao saa 10 za usiku kuwahi foleni,na kurudi nyumbani saa 4 za usiku kutokana na foleni.
Sawa,lakini kuna jumamosi na jumapili,ukitenga muda wa saa moja na nusu kwa jumamosi na jumapili,inakua umefanya mazoezi ya masaa 3 kwa juma ambayo si mbaya kwa afya ya mwanaume.
Pia ukiwa kwenye mihangaiko,badili aina ya maisha unayoishi. Mfano,tumia ngazi badala ya lift;tembea kwa miguu badala ya kutumia gari kwa sehemu ambayo ni rahisi na fupi kwenda kwa miguu;tumia maji sana kama kinywaji badala ya soda na bia.

Ukifanya hakika heshima yako kwa mkeo lazima irudi.

Pia epuka uvutaji wa sigara pamoja na ulevi wa pombe
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Well kama una mme wa hivo uliyataka mwenyewe.
Lazima ulipo kutana nae ulijua anafanya yote hayo.
It's worse kama kayaanza mkiwa wote maana wewe ndo utakua sababu.

So,it always start with you ladies.
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,....(kwenye nyumba weka mme)
na mwanamke mpumbavu huivunja mwenyewe.

Jamani hata mambo ya kitambi yanahitaji hekima ya mke, ina maana wewe mwanaume hujui baya na zuri lipi?!

Btw, nimesema hapo juu bwanyenye hataweza kukaa kwenye mji wetu mana atakula zoezi/gym na kuzingatia diet yanguvu home.
Sijampata huyo mume ila hawezi kuwa bonge bonge hivyo..


Unaogopa nini binti vitendea kazi si vipo bana,iyo ya kukaa miezi kadhaa bila ku duu kama ni mimi ingenishinda vinginevyo labda nipewe ahadi kabisa kwamba mzigo upo kwenye box haujawahi kufunguliwa naweza nikawa na subira kwasababu albamu nitazindua mimi

Nimekosa cha kusema mana umenichekesha. Uwepo wa vitendea kazi siyo issue, magonjwa na usanii umejaa siku hizi. Ni vyema kuwa mwangalifu hata kama ina raha yake vipi. Kwa awamu hii ya Jakaya mzigo umeshafunguliwa:)) ha ha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom