tatizo sio vyakula au kuwa na mwili mkubwa, hapo ndo wengi tunakosea. si mpaka umwingilie mwanamke Mara 5 ndo anaejoi... trust me guys, unaweza ata usimwingilie mwanamke then akawa satisfied mo thn ambavyo mngefanya Mara 10.
sababu ya wanaume kushidwa kuwa satisfy grls inatokana na most of boys washindwa kuwaandaa wapenzi wao, for what i kno, before ujamwingilia mwanamke inatakiwa awe amekutangulia mo thn three tymz ata the moment unamwingilia ata ukisema usipate bao she will be happy and trust me, kesho atakuja anataka tena.
mapenzi sio mashindano eti umpandie mwenzio Mara 7 ndo ujione kidume, na unaweza panda ata Mara kumi na hakuna ilichofanya. just be creative and make sure unajua mapenzi wako anataka nini...
NB: uwezi kufanya mapenzi na msichana wa mtaani thn ukapiga ata bao 2, most of the tym ukipata kamoja shida yako inakua imeisha na unajuta ata kwanini ulifanya, tafuta mtu unayempenda, tulia nae then utanambia. ndo mawazo yangu yameishia hapo.
Hata wakiwa kitandani kama bado wanalala pamoja.
Si wanakaa wote?
Halafu miiili sio tatizo,shida ni kwamba huyo mwanamke ni wangu so hata asipotosheka hakuna aibu ila kwa fikra zangu perfomance ya walioko kwenye ndoa wengi wao ni Low ukilinganisha na wanaokutana wakiwa si wanandoa...namaanisha nyumba ndogo utakuta perfomance iko juu balaa lakini kwa mke inashuka ingawa pia kuna sababu kadhaa za status ya mahusiano yao.
Kabisa kabisa hata mimi niliwahi kuwa hivyo lakini nimepiga jogging sasa niko fit.Kweli wanaume wengi wa siku hizi wametuna tuna ovyo..kutwa nyamaz, beer na kwenye magari hata jogging hawawezi. Matumbo makubwaa!
Nimefanya utafiti kuhusu wanawake wengi kwende inje ya mahusiano/ ku cheat waume zao ni kagundua kwamba sababu kubwa ni kukosa sexual satisfaction ingawaje hua hawasemi, lakini hilo ni tatizo kubwa kwa wanaume wa leo na nadhani inatokana zaidi na aina ya vyakula ambavyo tuna kula.
Mtu kashindia chips mayai siku nzima akitoka kazin ana shushia beer nne akifika home ubwabwa maharage na baada ya hapo the big game inaanza round mbili tu hoi bin taban. Wakati mwanamke ndo kwanza anaanza kuwa stimulated at times wengine wana ejaculate bila mwanamke kujua anashanga tu jaama kanywea na kuulizwa umemaliza na bila aibu na jama anajibu ndio.
Wakati babu zetu wlikuaga bala kweli kweli kutokana na vyakula ulivyokua wanakula (mfano fresh fruits kwa wingi bila preservatives kutoka kwenye miiti direct) sasa wenzagu tufanye jee kurudisha Hadhi ya kiume?
Pia naomba mwenye uelewa zaidi atuahinishie vyakula specifically vya kula illi turudishe hadhi ya kiume Karibuni tujadili
Kabisa kabisa hata mimi niliwahi kuwa hivyo lakini nimepiga jogging sasa niko fit.
tatizo sio vyakula au kuwa na mwili mkubwa, hapo ndo wengi tunakosea. si mpaka umwingilie mwanamke Mara 5 ndo anaejoi... trust me guys, unaweza ata usimwingilie mwanamke then akawa satisfied mo thn ambavyo mngefanya Mara 10.
sababu ya wanaume kushidwa kuwa satisfy grls inatokana na most of boys washindwa kuwaandaa wapenzi wao, for what i kno, before ujamwingilia mwanamke inatakiwa awe amekutangulia mo thn three tymz ata the moment unamwingilia ata ukisema usipate bao she will be happy and trust me, kesho atakuja anataka tena.
mapenzi sio mashindano eti umpandie mwenzio Mara 7 ndo ujione kidume, na unaweza panda ata Mara kumi na hakuna ilichofanya. just be creative and make sure unajua mapenzi wako anataka nini...
NB: uwezi kufanya mapenzi na msichana wa mtaani thn ukapiga ata bao 2, most of the tym ukipata kamoja shida yako inakua imeisha na unajuta ata kwanini ulifanya, tafuta mtu unayempenda, tulia nae then utanambia. ndo mawazo yangu yameishia hapo.
Huyo mume anarudi saa ngapi nyumbani, akitoka job anapitia kuonana na washkaji kwenye vijiwe vyenu akitoka hapo jajishibia minyama na biaz. Anafika nyumbani ni kukoroma, ameamka asubuhi kawahi kazini. Weekends ndiyo usiseme mipira na washkaji kwenye ratiba hawakosekani..Eeew ile miili ya wanaume wa siku hizi inakera!
Halafu huwezi kufanya mazoezi kama huzingatii unachokula. ni kazi bure!
mtu ana kitambi kikubwa tu halaf ni kijana...jamani wananikera sana,pia kula ovyo michemsho,noa na bia....mazoezi hakuna,unategemea nini??hata kukimbia inakushinda mwanaume????
Kabisa kabisa hata mimi niliwahi kuwa hivyo lakini nimepiga jogging sasa niko fit.
Pole sana inaonekana mumeo ana bonge la tambi mkurupue siku mojamoja awe ankimbiza upepo
Sasa wewe ulijuaje kwamba mabonge hawawezi kushughulika wakati ujawahi kuwa na bonge au unasikiliza habari za kuambiwa@belinda