Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,359
Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga (kushoto) akipokea kinyago cha kimakonde kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dk. Ladislaus Komba. Kinyago hicho ambacho ni urithi wa sanaa ya nchi yetu kiliibwa na watu wasiojulikana katika ofisi za wizara ya Maliasili na Utalii na kuja kupatikana nchini Uswisi kwa msaada wa Polisi wa kimataifa (Interpol). Hafla hiyo imefanyika leo katika Makumbusho ya Taifa yaliyopo katika mtaa wa Shaban Robert jijini Dar
source: michuzi.blogspost.com
Wadau mnaonaje kama serikali ingekazana kurudisha maliasili zote zinazoibiwa na kupelekwa nje km dhahabu, almasi, uranium nk si tungekuwa mbali sana?????? Kwa nini tushupalie vitu symbolic na kuacha vitu material. Hii inaingia akilini kweli?