Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Ndg.wanajamvi mimi na wengine 2napenda kujua,hivi ni nchi ngapi au zipo?ambazo zinatoa huduma kwa wananchi kama alivyokuwa Gaddafi na walibya.Make watz wengi sasa point yao juu ya Libya ni kuhusu huduma alizokuwa anawapa Gaddafi.Kama zilikuwa huduma za lazima 2juwe nasi wazawa 2ziombe........NAWAKILISHA