Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

Nimekumbuka kitu. AmKATRINA hivi siyo wewe uliyefunga ile ndoa inayopigiwa promo kwenye news kweli.
 
Last edited by a moderator:
Yaani nilinyang'anywa hivihivi tonge mdomoni na mapedeshee ya humu chit chat............. donlucchese ukipata inabidi uweke ulinzi shiriki.......

Ni kweli, tatizo unkwenda gym body ivutie warembo...hayo mazoezi unaenda kuajiriwa club or..mademu sikuizi uwe na mkwanja.
 
Ni kweli, tatizo unkwenda gym body ivutie warembo...hayo mazoezi unaenda kuajiriwa club or..mademu sikuizi uwe na mkwanja.

Kwaio mkuu unataka kusema sime mzigo silaha pesa?
 
Utapata mwenza humu wala usijali...kazi kwako kujinadi
 
Ni kweli, tatizo unkwenda gym body ivutie warembo...hayo mazoezi unaenda kuajiriwa club or..mademu sikuizi uwe na mkwanja.
Hahahaah! Hata ukiwa na mkwanja akiibuka mwenye mkwanja zaidi yako unapigwa chini vilevile.
 
Back
Top Bottom