Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

Hahahaah! Hata ukiwa na mkwanja akiibuka mwenye mkwanja zaidi yako unapigwa chini vilevile.

Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.
 
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!

Hahahahahaaaa Katavi umenichekesha sana aisee
Hivi ulishawahi kujisogeza kwa nani vile? Ni Eliza wa Tegeta au nani?
Uje tuongee tuone namna ya kukusaidia mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.

Hakuna haja ya kutuhonga....we chagua mtoto mmoja wa ukweli then tangaza nia mimi nitasimamia show
Humu kuna watawa kama mwallu (Miss you) ambao wanahitaji mapadre hahahaaa kazi ni kwako!
 
Last edited by a moderator:
ama kweli umeamua kunitia katika majaribu
Hakuna haja ya kutuhonga....we chagua mtoto mmoja wa ukweli then tangaza nia mimi nitasimamia show
Humu kuna watawa kama mwallu (Miss you) ambao wanahitaji mapadre hahahaaa kazi ni kwako!
 
Hakuna haja ya kutuhonga....we chagua mtoto mmoja wa ukweli then tangaza nia mimi nitasimamia show
Humu kuna watawa kama mwallu (Miss you) ambao wanahitaji mapadre hahahaaa kazi ni kwako!

Hahaha daaah fanya mambo mkuu nichekie vacancy!
 
Last edited by a moderator:
ama kweli umeamua kunitia katika majaribu

Najua uko kwenye vita kali ya Roho na mwili....yan mwili unataka ila moyo hauko tayari mwallu
Relux pia ndo ni sacrament na utawa sio sacrament bali kukitolea tu....!
 
Last edited by a moderator:
hakikaa nitayashindaaa..umeamkaje lakini!
Najua uko kwenye vita kali
ya Roho na mwili....yan mwili unataka ila moyo hauko tayari
mwallu
Relux pia ndo ni sacrament na utawa sio sacrament bali kukitolea
tu....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom