donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
- Thread starter
- #61
Hahahaah! Hata ukiwa na mkwanja akiibuka mwenye mkwanja zaidi yako unapigwa chini vilevile.
Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.