donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
- Thread starter
- #21
Hahahaaa hivi waganga wanasaidia? Zaman tulikuwa tunaambiwa ukikaanga mkia wa goromondo ule unga unga unampaka, au unamrushia demu eti lazma akupe mzigo, utoto bana.
Cc Katavi
Hahaha, mi nliambiwa kuna dawa ya kimasai inaitwa Katongoro, hiyo yaani ukiitafuna halafu ukam-mention tu mtu kwa mfano Heaven on earth huko huko aliko mambo yanakua mambo. Unashangaa tu ghafla pm shimo limetema mtoto anakwambia sixgates naomba namba yako.lol
Last edited by a moderator: