kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Tanzania tuna utamaduni wa kuwatunza viongozi wetu wanaostaafu au kumaliza muda wao wa uongozi. Tunafanya hivyo kwa kuwajengea nyumba za kifahari na kuwapa mishahara za posho kadhaa wa kadhaa. Katika taifa ambalo linaishi kwa mikopo kama hili la Tanzania tuendelee kuwajengea nyumba viongozi ambao tayari wa majumba Yao kadhaa sehemu mbalimbali nchini?
Ni nani ajengewe na nani asijengewe? Mfano, Mwl Nyerere alimaliza akiwa na nyumba isiyokidhi hadhi yake kwa sababu ya alivyoishi akiwa kiongozi, je wanyonge waendelee kubeba mizigo ya aina hii?
Ni nani ajengewe na nani asijengewe? Mfano, Mwl Nyerere alimaliza akiwa na nyumba isiyokidhi hadhi yake kwa sababu ya alivyoishi akiwa kiongozi, je wanyonge waendelee kubeba mizigo ya aina hii?