CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini limesema haliungi mkono UKUTA, katibu mkuu wa TUCTA Nikolaus Mgaya amesema wao hawajihusisha na siasa kwa ni kazi yao ni kutetea maslahi ya wafanyakazi.
Amesema kuna wanachama wa upinzani na CCM waliopo TUCTA lakini wao hawataunga mkono UKUTA
Akizungumzia suala la kuhamia Dodoma amesema yawezekana hakuna majengo ya kutosha kweli lakini watabanana huko huko ili wapate akili za kujenga
Mgaya ni mpuuzi, UKUTA haimhusu, ameshindwa kuwatetea wafanyakazi mpaka leo kima cha chini hakimalizi wiki kwa mfanyakazi, halafu bila aibu linakuja kubwabwaja hapa mambo ya UKUTA!
