LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Kwani hajafika miaka 60 huyu aondoke?Huyu si ndio alitakiwa atumbuliwe mapema na wafanyakazi wenyewe?maana haieleweki anachokisimamia
Kwani hajafika miaka 60 huyu aondoke?Huyu si ndio alitakiwa atumbuliwe mapema na wafanyakazi wenyewe?maana haieleweki anachokisimamia
Kwani nani amemwambia TUCTA inahitajika kwenye UKUTA?
Anasema wao hawajihusishi na siasa, sasa habari za UKUTA zinamhusu nini?
Akae mbali na unafiki wake. Mambo ya wafanyakazi yamemshinda, ataweza hayo mengine? hadi leo wafanyakazi kibao 'wameachishwa kazi' kwa kauli ya Rais hatujamsikia akisema chochote.