Hakuna kitu aisee. Ukianzia mabango, maandalizi, hotuba utafikiri waathirika wa gongo.Huyu katibu mkuu hawezi hata kusoma vizuri pia anaoenekana kalewa.
Ametumia dakika 10 utambulisho na kusifu serikali.
Bado anaendelea kuongea....
Kweli JPM aliua vyama vya wafanyakazi.
Masimango, wewe kwa hali ya maisha ya mfanyakazi wa UMMA asiwe mlevi huyo atakuwa na upako.Ni mlevi
Anajaribu kulinda reganziHuyu katibu mkuu hawezi hata kusoma vizuri pia anaoenekana kalewa.
Ametumia dakika 10 utambulisho na kusifu serikali.
Bado anaendelea kuongea....
Kweli JPM aliua vyama vya wafanyakazi.
Bado matamshi mengine ni kama kitwanga tuSasa amecharuka ameanza kutema cheche. Alianza kilevi levi
Itakuwa KVant imeisha kichwani.
Ha ha ha haSasa amecharuka ameanza kutema cheche. Alianza kilevi levi
Itakuwa KVant imeisha kichwani.
Mawazo kama yangu, kama mwakilishi ndo huyu Wafanyakazi wasitegemee lolote.Huyu katibu mkuu hawezi hata kusoma vizuri pia anaoenekana kalewa.
Ametumia dakika 10 utambulisho na kusifu serikali.
Bado anaendelea kuongea....
Kweli JPM aliua vyama vya wafanyakazi.
Mbona kaongea mambo konki. Alikuwa anawalainisha serikali ili ashushe nondo..!Huyu katibu mkuu hawezi hata kusoma vizuri pia anaoenekana kalewa.
Ametumia dakika 10 utambulisho na kusifu serikali.
Bado anaendelea kuongea....
Kweli JPM aliua vyama vya wafanyakazi.
Maumivu yakizidi sana na trust ikivunjika ni ngumu sana kuirudisha kwa ghafla...Roho imeniuma kwa nini uwanja haujafurika kama ilivo kawaida sio picha mzuri wallahi
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app