Mwanang wa pekee amefariki masiku machache yaliyopita kwa kinachosadikiwa ni neumonia
Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa kifua na kutapika maziwa na kubanwa kifua kwa kasi sana.
Tulimpeleka hospital ya magereza ukonga maarufu KM ila saa zima pale walihangaika kutafuta mshipa wamchome ila walishindwa hapo hal ikazid kuwa mbaya zaid ikabid nimkimbize pugu kufika too late anawekewa oxygen anafariki
Nataka kujuwa kwa wataalamu neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla pasina kuwa na dalil zake masiku machache nyuma na kumuua?
Huduma ya kwanza ni ipi? Nimeona inauwa karibia watoto laki 7 kila mwaka dunian. Je, haina chanjo?
Daktari nilipomuuliza nini kimemuua akajibu ni severe neumonia
Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa kifua na kutapika maziwa na kubanwa kifua kwa kasi sana.
Tulimpeleka hospital ya magereza ukonga maarufu KM ila saa zima pale walihangaika kutafuta mshipa wamchome ila walishindwa hapo hal ikazid kuwa mbaya zaid ikabid nimkimbize pugu kufika too late anawekewa oxygen anafariki
Nataka kujuwa kwa wataalamu neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla pasina kuwa na dalil zake masiku machache nyuma na kumuua?
Huduma ya kwanza ni ipi? Nimeona inauwa karibia watoto laki 7 kila mwaka dunian. Je, haina chanjo?
Daktari nilipomuuliza nini kimemuua akajibu ni severe neumonia