Hii ni mamazetu wote .hapo utafikiri walimuona mamaangu huuh!r.i.p mamaNilijua ni Mama yangu tu kumbe mpaka wa kwenu ?
love thé love or hâte thé love.....
Nilikuwa busy hiyo siku..sikulog in kabisaAseeh nani kama mama,... Leo Joseverest yuko wapi wadau!! "???,..isije kua anaugua atujui,
aseehhuu uzi umenichekesha sana.......even my mom yuko ivo pia....natamani nimsomee huu uzi nione reaction yake
Nani kama mama ??
Utajuaje kama mama ako ni mtanzania.........
-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo
-Ni anapo kuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubir kuambiwa
-nipale unapo aga kwenda kwa rafik ako kupiga story alafu anakuuliza iv Lin uyo rafik ako amewah kuja kwenu....... Huyo hajahamia bongo
Nipale anapo kuuliza kama chakula alicho kupakulia kinatosha ukisema hapana ana kwambia kapike mwenyewe...... Huyo wakwetu
Ni pale unapo wekewa nguo za Aina mbili za jumapil na zakushindia sasa jikute nunda ushindie za jumapil utajuta kwa hayo makofi.......mama huyo wahapahapa
Nipale unapo sahau kumsalimia asubuh alafu ana kusalimia yeye shkamoo.... Ohoo kaa mbali kwa mda huo..... Huyu haina haja ya kuulizia anatokea wapi
Nipale anaposinzia huku mnaangalia tv na hatak mbadilishe channel.....huyu wahapahapa......
Nipale unapo kuwa store alafu anakuita jikoni alafu anakwambia nenda kanichukilie mwiko store..... Na huyu niwaambie anatokea wapi..
Kuna Vyombo vingine anavitoa tuu wakija wageni..... Haaahaa ni mama usimuulize utaifa huyu unakosea
Ni pale unavo rud kwenu unamwambia umeshika nafasi ya pili darasan anakuuliza wa kwanza anavichwa vi wili??..... Yupo kweny list ya wamama wabongo...
Sasa unataka kujua serikali ina mkono mrefu @Dokoa nyama udakwee!!!!!!!!!
Utamuona trump kwenye mwembe .....
a tunawapenda mama zetu wakitanzania.........
.
Asee unaweza ambulia kofi bora husimsomeehuu uzi umenichekesha sana.......even my mom yuko ivo pia....natamani nimsomee huu uzi nione reaction yake
Asee unaweza ambulia kofi bora husimsomee
Post sent using JamiiForums mobile app
Huwa hacomment akiona kuwa nafasi ya kwanza, amewahi mtu mwingine. Kwani wewe hujui mkuu?Aseeh nani kama mama,... Leo Joseverest yuko wapi wadau!! "???,..isije kua anaugua atujui,
Ni pale unapoanza kunawa kabla ya wakubwa then unaambiwa utoke nje ukatie mkono kwenye michanga ndipo urudi kunawa tena
Nilikuwa natamani kulia .Ni pale unapokuwa wa kwanza kiwilaya au kimkoa unampa taarifa anaishia kuitikia Aaha.
Post sent using JamiiForums mobile app
hapo maza kashindwa kujizuia na hasiraNi pale anapokuita jina la mnyama .
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Daaa enzi hazirud jicho tu ndo linaloongea nakumbuka mam ukifany kosa utamsikia siku nikikushika hahaha na hiyo siku ukishikwa eza ukasema hajakuzaa yey jins kipigo atakachokupa utajuta
Daah bimkubwa wangu alikuwa mtata sana, sasa usiombe ukaenda naye ugenini alafu ukapewa kitu ule pasipo kumuangalia usoni kwamba anakupa ishara gani upokee au usipokee yaan mkirudi home ni kipigo cha sherehe utajuta kwanini uliongozana nae.
Umeonae lkn mitot ya siku hiz hata wazazi wa kizazi hiki wamesahau kutumia hii ishar ya jichoWalikuwa hawahangaiki kuongea ni jicho tuu akikuangalia unatoka kimya kimya na hutopata amani hata ya kucheza na watoto wenzio hapo unawaza wageni wakiondoka sijui itakuwaje
Pale unapoagizwa/kutumwa sehemu harafu yeye anatema mate chini....... ha ha hahaaa!! hapo huhitaji elimu ya darasa la 3 kujua nini kinaendelea!!
Ni mwendo wa mbio tu, olewako urudi ukute yale mate yamekauka pale chini!!