TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,723
- 10,228
Utajuaje kama mama ako ni mtanzania.........
-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo
-Ni anapokuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubiry kuambiwa
-Ni pale unapoaga kwenda kwa rafik yako kupiga story halafu anakuuliza hivi lin huyo rafik yako amewahi kuja kwenu....... Huyo hajahamia bongo
Ni pale anapokuuliza kama chakula alichokupakulia kinatosha ukisema hapana anakwambia kapike mwenyewe...... Huyo wa kwetu
Ni pale unapowekewa nguo za aina mbili za jumapil na za kushindia sasa jikute nunda ushindie za jumapil utajuta kwa hayo makofi.......mama huyo wa hapahapa
Ni pale unaposahau kumsalimia asubuh alafu anakusalimia yeye shkamoo.... Ohoo kaa mbali kwa mda huo..... Huyu haina haja ya kuulizia anatokea wapi
Nipale anaposinzia huku mnaangalia tv na hatak mbadilishe channel.....huyu wahapahapa......
Nipale unapokuwa store alafu anakuita jikoni anakwambia nenda kanichukilie mwiko store..... Na huyu niwaambie anatokea wapi..
Kuna Vyombo vingine anavitoa tuu wakija wageni..... Haaahaa ni mama usimuulize utaifa huyu unakosea
Ni pale unavyorud kwenu unamwambia umeshika upili darasan anakuuliza wa kwanza anavichwa viwili??..... Yupo kweny list ya wamama wabongo...
Sasa unataka kujua serikali ina mkono mrefu @Dokoa nyama udakwee!!!!!!!!!
Utamuona trump kwenye mwembe .....
Tu Like na ku Share kama tunawapenda mama zetu wakitanzania.........
-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo
-Ni anapokuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubiry kuambiwa
-Ni pale unapoaga kwenda kwa rafik yako kupiga story halafu anakuuliza hivi lin huyo rafik yako amewahi kuja kwenu....... Huyo hajahamia bongo
Ni pale anapokuuliza kama chakula alichokupakulia kinatosha ukisema hapana anakwambia kapike mwenyewe...... Huyo wa kwetu
Ni pale unapowekewa nguo za aina mbili za jumapil na za kushindia sasa jikute nunda ushindie za jumapil utajuta kwa hayo makofi.......mama huyo wa hapahapa
Ni pale unaposahau kumsalimia asubuh alafu anakusalimia yeye shkamoo.... Ohoo kaa mbali kwa mda huo..... Huyu haina haja ya kuulizia anatokea wapi
Nipale anaposinzia huku mnaangalia tv na hatak mbadilishe channel.....huyu wahapahapa......
Nipale unapokuwa store alafu anakuita jikoni anakwambia nenda kanichukilie mwiko store..... Na huyu niwaambie anatokea wapi..
Kuna Vyombo vingine anavitoa tuu wakija wageni..... Haaahaa ni mama usimuulize utaifa huyu unakosea
Ni pale unavyorud kwenu unamwambia umeshika upili darasan anakuuliza wa kwanza anavichwa viwili??..... Yupo kweny list ya wamama wabongo...
Sasa unataka kujua serikali ina mkono mrefu @Dokoa nyama udakwee!!!!!!!!!
Utamuona trump kwenye mwembe .....
Tu Like na ku Share kama tunawapenda mama zetu wakitanzania.........