paramawe
Senior Member
- Apr 13, 2013
- 151
- 24
Hivi tumekosa Matajiri hata 5 Tanzania wazalendo wakaonganisha Nguvu ya Pesa na kutengeneza Kampuni 1 ambayo itaweza kuwekeza ktk Usafirishaji wa hii Treni kati ya Airport na city Center, then Wakatoa ajira kwa watanzania na wao kuwa wakigawa Faida? Au Mfuko Mmojawapo wa hifadhi za Jamii umeshindwa hii Kitu? Mabenki ya Kizalendo yameshindwa kufanya hii Project na kuwa Mali ya Watanzania. Mbona tunaaibisha Taifa hili jamani? Km 13 tu hata kwa kuanza na Behewa 5 Tumeshindwa?