GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,262
Teknolojia ,utandawazi ni vitu ambavyo havikwepeki katika maisha yetu. Athari zake ni mpaka kwenye lugha .
Haya maneno yamekuwa yakitumika isivyo na wadau wengi na wengine ambao unategemea kuwa wameenda enda shule kidogo wawe wamebadilika.
Leave- neno la kiingereza maana yake ondoka, acha n.k
Mtu anapokuwa kwenye group la whatsapp akajiondoa inakuwa - Boribo has left au kifupi tu Boribo Left.
Left ni past na present participle ya leave. Yaani. Leave, Left, Left kama Break, Broke, Broken.
Kwa lugha sahihi ulitakiwa usema Boribo has left au Boribo left the group. ukirudisha kwenye kiswahili basi iwe Boribo ame leave the group. Au nimeamua ku leave lile group la whatsapp na siyo nime left.sema nme leave .
Maneno kama.
Dunia haipo Fare X - ni Fair
Njoo tu ChaRt X - Chat
Kwani hapo uta Loose nini X - Lose
Jana nme Loose wallet yangu X- Lose
Loose - legeza
Lose - poteza
Ukiacha wale wengine wapuuzi wanaoandoka.
Xawa - badala ya Sawa
Bana - bwana
Kuna mengi ambayo mtu anaweza akaandika ukaona ana reveal kichwani ana nini. Kukosea lugha ya kiingereza si dhambi. Najua ni lugha ya wenyewe basi tuchague pale ambapo hatulazimishwi tutumie kiswahili chetu ni lugha nzuri tu mbona?
Mbaya tunapokosea kiswahili , na tunapokosea kiingereza.
Haya maneno yamekuwa yakitumika isivyo na wadau wengi na wengine ambao unategemea kuwa wameenda enda shule kidogo wawe wamebadilika.
Leave- neno la kiingereza maana yake ondoka, acha n.k
Mtu anapokuwa kwenye group la whatsapp akajiondoa inakuwa - Boribo has left au kifupi tu Boribo Left.
Left ni past na present participle ya leave. Yaani. Leave, Left, Left kama Break, Broke, Broken.
Kwa lugha sahihi ulitakiwa usema Boribo has left au Boribo left the group. ukirudisha kwenye kiswahili basi iwe Boribo ame leave the group. Au nimeamua ku leave lile group la whatsapp na siyo nime left.sema nme leave .
Maneno kama.
Dunia haipo Fare X - ni Fair
Njoo tu ChaRt X - Chat
Kwani hapo uta Loose nini X - Lose
Jana nme Loose wallet yangu X- Lose
Loose - legeza
Lose - poteza
Ukiacha wale wengine wapuuzi wanaoandoka.
Xawa - badala ya Sawa
Bana - bwana
Kuna mengi ambayo mtu anaweza akaandika ukaona ana reveal kichwani ana nini. Kukosea lugha ya kiingereza si dhambi. Najua ni lugha ya wenyewe basi tuchague pale ambapo hatulazimishwi tutumie kiswahili chetu ni lugha nzuri tu mbona?
Mbaya tunapokosea kiswahili , na tunapokosea kiingereza.