nyondoloja
Senior Member
- Nov 10, 2010
- 189
- 52
- Thread starter
- #321
Habari za ukimya???...hivi digitek wapo angle gani kwa dish satellite??...
inasemekana wapo 64.2e mimi sijafanya utafiti
Habari za ukimya???...hivi digitek wapo angle gani kwa dish satellite??...
Nauza dish la Azam Ft 6
Yap. AnayoAzam ana dish la futi sita??
hakuna dishi la futi6 Azam sema unaweza tumia dishi la futi 6Yap. Anayo
Haya makubwa yalotoka hivi karibuni ni futi ngapi? (Ya Azam)hakuna dishi la futi6 Azam sema unaweza tumia dishi la futi 6
Uwa 90cm ila nlishaona machache ambayo n 60cmHaya makubwa yalotoka hivi karibuni ni futi ngapi? (Ya Azam)
Pay tv na dish kubwa zaidi ya 90cm cjui ka ipo io apa duniani
Hahahahahaha nimechekaje! Duh hakuna dish la azam la ft 6 banahAzam ana dish la futi sita??
Mie nimefunga mfumo huo, lakini base ni IS 906 @64.2, na juu nimeweka IS 20 @ 68.5. Mambo yanakwendaView attachment 360165 hapo ni sat 2 na zote ni pey tvView attachment 360165
NSS 12 at 57.0°E - LyngSat
Intelsat 20 at 68.5°E - LyngSat
Pata kingamuzi kingine, mpeg4, ambacho sio cha kampuni, hivi bei ni kati ya tsh 95,000 hadi 165,000. Inategemea ni brand ipi.Mm nahitaji fundi aje anifungie nizipate, natumia king'amuzi cha continental
24 inapatikana kwa lnb ya kawaida kabisa labda mahali ulipo kuna interfearance, jaribu kutumia single solutionmsaada namna ya kupata sport 24,na vp kuhusu c band yenye nguvu tofauti na hizi Star gold na Galf star
Chakwangu ni cdm4Pata kingamuzi kingine, mpeg4, bei ni kati ya tsh 95,000 hadi 165,000. Ninavyo nicheki kwa hii namba 0717 54 57 62
???Chakwangu ni cdm4
- GSKYWakuu kwema eti niipi ndo receiver bora kwa fta channels