Emmanuel S Jonathan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 359
- 200
Na bei zke zinaendaje- GSKY
- FreeSat Combo au Freesat Max
- Alphabox
- srt 4922
Na bei zke zinaendaje- GSKY
- FreeSat Combo au Freesat Max
- Alphabox
- srt 4922
Gsky, Qsat & Srt - utapata kwa bei zaidi ya 200kNa bei zke zinaendaje
Iyo gsky tofauti yake na zingine ni nini mkuuGsky, Qsat & Srt - utapata kwa bei zaidi ya 200k
Wakati hizo zingine bei yake ni chini ya 175,000
Inafanya vizuri zaidi kwenyeIyo gsky tofauti yake na zingine ni nini mkuu
Kuna channel gani za English action movies?Kupitia Decorder zetu za
Alphabox X4 +
Alphabox X6
Qsat 28G
Umaweza kuangalia chennel nyingi zikiwemo sports channel kama
Sony six
Sony Espn
Sports 24 Hd
Bure bila ya kulipia kwa mwezi
Kuna channel gani za English action movies?
Continental cdm 4
Sawa, ili ufurahie FTA kwa ujumla wakeContinental cdm 4
Ahsante sanaa mwlSawa, ili ufurahie FTA kwa ujumla wake
1. Upate decoder ambayo sio ya kampuni yeyote, yaani isiwe ya azam, continental, dstv wala startimes - maana hizi zimefungwa na ziko paired na kadi ya kampuni husika
2. Pata dish la FT6 au FT8
3. Pata fundi wa kukufanyia kazi
Hapo ndipo utafurahia TV channel bila malipo ya kila mwezi, Pata kujifunza zaidi kwenye hii thread pia: https://www.jamiiforums.com/threads...jia-ya-kuepuka-visimbusi-vya-kulipia.1022441/
Power vu ndo natak software yake
Wiztech na powervu wapi na wapiHello guys can you help me power vu software for wiztech 8020
Kwa decoder gani? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna powervu software tofauti tofauti kwa aina tofauti za visimbuzi, hata kama ni za kampuni moja. Mfano, software ya Qsat Q28 huwezi kuitumia kwenye Qsat Q 15 ama 26. Nadhani nimeelewekaPower vu ndo natak software yake
mkuu Satellite zote hizi zinapatikana kwa dish moja , yaani unaweka LNB 6 kwenye dish la ft6??je 36.0eEutelsat36A-36B zinafungua channels za ZIP?JF wazima?
Pata ujuzi kidogo nawe kama una maujanja ongeza wengi wetu tumejaza madishi nyumbani kwetu
kwakutumia mfumo huu unaweza ukapunguza. Dishi 1 ft 6 unaweza kufunga LNB sita CBD-3 na KU-3 ukituli hadi CBD 4
View attachment 80099
Angalia hi picha nilivyo funga hapa nyumbani
Tuanze na hii chini 36.0e kwenda juu 78.5e
36.5e Euntelsat 36A-36B hapo zinapatikana za DSTV, AGAPE, ZAP, nk
57.0e NSS 12 hapo zinapatika za ZUKU, na FTA kenya
64.2e lntelsat 906 hapo za tanzania mzq nk
68.5e lntelsat 20 KU kuna za sauzi,naijelia,dini nk
68.5E lntelsat 20 CBD kuna iljzr,kihindi nk
76.5e Apstar 7
78.5e Thaicom 5
76.5e na 78.5e hizi satellite kufunga unabalansi unazipata zote
68.5e CBD na 68.5e KU zinakaa sehem moja CBD chini KU juu
kama huwezi kuchonga zipo dukani zilizo shikana cbd na ku
freq kwenye link hapo chini
78.5eThaicom5
76.5eApstar7
68.5eCBDnaKU
64.2elntelsat906
57.0eNSS-12
36.0eEutelsat36A-36B
kwa dish ya ft ngapi????nyondoloja kuna mtu nilimwonyesha hii yeye akasema anaweza hivi