Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

Kupitia Decorder zetu za
Alphabox X4 +
Alphabox X6
Qsat 28G
Umaweza kuangalia chennel nyingi zikiwemo sports channel kama
Sony six
Sony Espn
Sports 24 Hd
Bure bila ya kulipia kwa mwezi
 
Kupitia Decorder zetu za
Alphabox X4 +
Alphabox X6
Qsat 28G
Umaweza kuangalia chennel nyingi zikiwemo sports channel kama
Sony six
Sony Espn
Sports 24 Hd
Bure bila ya kulipia kwa mwezi
Kuna channel gani za English action movies?
 
Continental cdm 4
Sawa, ili ufurahie FTA kwa ujumla wake
1. Upate decoder ambayo sio ya kampuni yeyote, yaani isiwe ya azam, continental, dstv wala startimes - maana hizi zimefungwa na ziko paired na kadi ya kampuni husika

2. Pata dish la FT6 au FT8

3. Pata fundi wa kukufanyia kazi

Hapo ndipo utafurahia TV channel bila malipo ya kila mwezi, Pata kujifunza zaidi kwenye hii thread pia: https://www.jamiiforums.com/threads...jia-ya-kuepuka-visimbusi-vya-kulipia.1022441/
 
Sawa, ili ufurahie FTA kwa ujumla wake
1. Upate decoder ambayo sio ya kampuni yeyote, yaani isiwe ya azam, continental, dstv wala startimes - maana hizi zimefungwa na ziko paired na kadi ya kampuni husika

2. Pata dish la FT6 au FT8

3. Pata fundi wa kukufanyia kazi

Hapo ndipo utafurahia TV channel bila malipo ya kila mwezi, Pata kujifunza zaidi kwenye hii thread pia: https://www.jamiiforums.com/threads...jia-ya-kuepuka-visimbusi-vya-kulipia.1022441/
Ahsante sanaa mwl
 
*PakSat 1R @38.East*

4004 V 15555 MPEG2/BISS

SID.0004 Key. F7E9 A7AB 1957 CDAB

Or Key. F7E9 A700 1957 CD00
 
Power vu ndo natak software yake
Kwa decoder gani? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna powervu software tofauti tofauti kwa aina tofauti za visimbuzi, hata kama ni za kampuni moja. Mfano, software ya Qsat Q28 huwezi kuitumia kwenye Qsat Q 15 ama 26. Nadhani nimeeleweka
 
JF wazima?

Pata ujuzi kidogo nawe kama una maujanja ongeza wengi wetu tumejaza madishi nyumbani kwetu
kwakutumia mfumo huu unaweza ukapunguza. Dishi 1 ft 6 unaweza kufunga LNB sita CBD-3 na KU-3 ukituli hadi CBD 4

View attachment 80099
Angalia hi picha nilivyo funga hapa nyumbani

Tuanze na hii chini 36.0e kwenda juu 78.5e

36.5e Euntelsat 36A-36B hapo zinapatikana za DSTV, AGAPE, ZAP, nk
57.0e NSS 12 hapo zinapatika za ZUKU, na FTA kenya
64.2e lntelsat 906 hapo za tanzania mzq nk
68.5e lntelsat 20 KU kuna za sauzi,naijelia,dini nk
68.5E lntelsat 20 CBD kuna iljzr,kihindi nk
76.5e Apstar 7
78.5e Thaicom 5

76.5e na 78.5e hizi satellite kufunga unabalansi unazipata zote
68.5e CBD na 68.5e KU zinakaa sehem moja CBD chini KU juu
kama huwezi kuchonga zipo dukani zilizo shikana cbd na ku

freq kwenye link hapo chini

78.5eThaicom5
76.5eApstar7
68.5eCBDnaKU
64.2elntelsat906
57.0eNSS-12
36.0eEutelsat36A-36B
mkuu Satellite zote hizi zinapatikana kwa dish moja , yaani unaweka LNB 6 kwenye dish la ft6??je 36.0eEutelsat36A-36B zinafungua channels za ZIP?
 
Back
Top Bottom