Tuanzishe Operation Zinduka Moto uwake mpaka vijijini

Mrimi

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
1,691
633
Wanajamii siku zote ukombozi unaanza na watu wachache wenye nia thabiti. Si kawaida umma wote kuamka mara moja na kudai ukombozi.
Nimefikiria hili vuguvugu la ukombozi linaloanza taratibu linaweza likazimwa kirahisi tu endapo watawala wataamua kutumia kale kautaratibu kao ka siku zote kapropaganda. Sote tunajua silaha yao ni kutugawa kisha wanatutawala.

Tukumbuke sisi ambao tuna access ya information tuko wachache sana, wengi wetu tupo mijini. Lkn watanzania wengi wapo vijijini. Ukifanya utafiti wa uelewa wa watu hawa juu ya katiba hawana.Sasa mimi naona hali hiyo ni silaha tosha ya watawala ktk kushinda vita hii. Wakati umefika sasa lianzishwe vuguvugu litakalopenya hadi vijijini ili watu wetu wafahau haki zao na nafasi yao katika kuzipigania. Sote tunajua watu wanavyoteseka huko, wanahitaji ukombozi.

Kitu ninachoona hapa ni kwamba watawala watatema sumu yao ya propaganda kwa kusema vuguvugu hili ni uvunjaji wa amani kama ambavyo wamekuwa wakidhihaki maandano siku zote. Watawarubuni baadhi ya wanaharakati wenye njaa, wengine watakamatwa na hata wengine watauawa. Hii ikitokea wengine watavunjika moyo na ku give up. Watawala watakuwa wameshinda vita hii nasi tutabaki kuwa watu dhalili miaka yote.

Kimsingi tunahitaji watu wa vijijini. Hii ndiyo silaha pekee waliyobakinayo watawala hawa, sote tunaona Arusha, Mbeya, Mwanza, Moshi Kigoma,Dar.nk. zinavyowahangaisha, sasa tunatakiwa kuzama ndani kwenye mizizi. Kiukweli tusipopata support ya wanavijiji, mi naona bado vita hii kuishida ni vigumu.

Nawasilisha....
 
Wanajamii siku zote ukombozi unaanza na watu wachache wenye nia thabiti. Si kawaida umma wote kuamka mara moja na kudai ukombozi.
Nimefikiria hili vuguvugu la ukombozi linaloanza taratibu linaweza likazimwa kirahisi tu endapo watawala wataamua kutumia kale kautaratibu kao ka siku zote kapropaganda. Sote tunajua silaha yao ni kutugawa kisha wanatutawala.

Tukumbuke sisi ambao tuna access ya information tuko wachache sana, wengi wetu tupo mijini. Lkn watanzania wengi wapo vijijini. Ukifanya utafiti wa uelewa wa watu hawa juu ya katiba hawana.Sasa mimi naona hali hiyo ni silaha tosha ya watawala ktk kushinda vita hii. Wakati umefika sasa lianzishwe vuguvugu litakalopenya hadi vijijini ili watu wetu wafahau haki zao na nafasi yao katika kuzipigania. Sote tunajua watu wanavyoteseka huko, wanahitaji ukombozi.

Kitu ninachoona hapa ni kwamba watawala watatema sumu yao ya propaganda kwa kusema vuguvugu hili ni uvunjaji wa amani kama ambavyo wamekuwa wakidhihaki maandano siku zote. Watawarubuni baadhi ya wanaharakati wenye njaa, wengine watakamatwa na hata wengine watauawa. Hii ikitokea wengine watavunjika moyo na ku give up. Watawala watakuwa wameshinda vita hii nasi tutabaki kuwa watu dhalili miaka yote.

Kimsingi tunahitaji watu wa vijijini. Hii ndiyo silaha pekee waliyobakinayo watawala hawa, sote tunaona Arusha, Mbeya, Mwanza, Moshi Kigoma,Dar.nk. zinavyowahangaisha, sasa tunatakiwa kuzama ndani kwenye mizizi. Kiukweli tusipopata support ya wanavijiji, mi naona bado vita hii kuishida ni vigumu.

Nawasilisha....

jenga taifa hacha uchochezi
 
Wanajamii siku zote ukombozi unaanza na watu wachache wenye nia thabiti. Si kawaida umma wote kuamka mara moja na kudai ukombozi.
Nimefikiria hili vuguvugu la ukombozi linaloanza taratibu linaweza likazimwa kirahisi tu endapo watawala wataamua kutumia kale kautaratibu kao ka siku zote kapropaganda. Sote tunajua silaha yao ni kutugawa kisha wanatutawala.

Tukumbuke sisi ambao tuna access ya information tuko wachache sana, wengi wetu tupo mijini. Lkn watanzania wengi wapo vijijini. Ukifanya utafiti wa uelewa wa watu hawa juu ya katiba hawana.Sasa mimi naona hali hiyo ni silaha tosha ya watawala ktk kushinda vita hii. Wakati umefika sasa lianzishwe vuguvugu litakalopenya hadi vijijini ili watu wetu wafahau haki zao na nafasi yao katika kuzipigania. Sote tunajua watu wanavyoteseka huko, wanahitaji ukombozi.

Kitu ninachoona hapa ni kwamba watawala watatema sumu yao ya propaganda kwa kusema vuguvugu hili ni uvunjaji wa amani kama ambavyo wamekuwa wakidhihaki maandano siku zote. Watawarubuni baadhi ya wanaharakati wenye njaa, wengine watakamatwa na hata wengine watauawa. Hii ikitokea wengine watavunjika moyo na ku give up. Watawala watakuwa wameshinda vita hii nasi tutabaki kuwa watu dhalili miaka yote.

Kimsingi tunahitaji watu wa vijijini. Hii ndiyo silaha pekee waliyobakinayo watawala hawa, sote tunaona Arusha, Mbeya, Mwanza, Moshi Kigoma,Dar.nk. zinavyowahangaisha, sasa tunatakiwa kuzama ndani kwenye mizizi. Kiukweli tusipopata support ya wanavijiji, mi naona bado vita hii kuishida ni vigumu.

Nawasilisha....
Hapa umefikiria kwa akili zako zote ndio ukaibuka na huu upupu?
 
pamba*************fu umevimbewa amani iliopo umeeanza kuja*********mba unaamini mabadiko ni kwa vurugu jaribu kufiikiri njia mbadala ya kuleta mageuzi
 
pamba*************fu umevimbewa amani iliopo umeeanza kuja*********mba unaamini mabadiko ni kwa vurugu jaribu kufiikiri njia mbadala ya kuleta mageuzi

Soma vizuri thread uone kama inahamasisha vurugu mkuu.
Hoja hapa ni kuhakikisha elimu ya uraia inapenya hadi vijijini ili watu wote waelewe na kwa kufanya hivyo wajitambue wao kwa nafasi yao wanachangia vipi ktka kuleta mabadiliko ktk maisha yao nataifa kwa ujumla.

Kwa kuanzia tuanze na hili la katiba, najua unafahamu watanzania walio wengi, tena si vijijini tu, hawajui lolote kuhusiana najambo hili. Sasa kosa lipo wapi hapo. Na ni mbinu hii imekuwa ikitumiwa kutisha watu wasidai haki zao kwa kuambiwa kuwa wanaleta fujo.

Nilijua hii thread itawatibua wengi kwani inaweka wazi silaha pekee ambayo watawala wamebaki nayo.

Pole sana kwa wale niliowagusa.
 
Wewe umefikiria mbali sana nakuma 100 ya 100...ulivyosema vuruvurur ianzishwe huko watu wameelewa vibaya wamezani ni vurugu,lakini ujumbe wako ni kwamba elimu vijijini watu wapewe waelewe haki zao
 
Wewe umefikiria mbali sana nakuma 100 ya 100...ulivyosema vuruvurur ianzishwe huko watu wameelewa vibaya wamezani ni vurugu,lakini ujumbe wako ni kwamba elimu vijijini watu wapewe waelewe haki zao



Mkuu nimegusa mahali wanapotegemea wakubwa, wameshtuka wanatafuta jinsi ya kupindua hoja. Sio issue tutaendelea kuwaelimisha tu.
 
elimu hii ianzie ndani mwako na kwajirani yako mpaka kwa bibi kijijini
 
Hivi ni nani anapaswa kuwaelimisha wananchi hasa wa vijijini. Maana hawakawii kusema wachochezi, wanavuruga amani mara intelligence....
 
pamba*************fu umevimbewa amani iliopo umeeanza kuja*********mba unaamini mabadiko ni kwa vurugu jaribu kufiikiri njia mbadala ya kuleta mageuzi

Soma vizuri thread uone kama inahamasisha vurugu mkuu.
Hoja hapa ni kuhakikisha elimu ya uraia inapenya hadi vijijini ili watu wote waelewe na kwa kufanya hivyo wajitambue wao kwa nafasi yao wanachangia vipi ktka kuleta mabadiliko ktk maisha yao nataifa kwa ujumla.


Kwa kuanzia tuanze na hili la katiba, najua unafahamu watanzania walio wengi, tena si vijijini tu, hawajui lolote kuhusiana najambo hili. Sasa kosa lipo wapi hapo. Na ni mbinu hii imekuwa ikitumiwa kutisha watu wasidai haki zao kwa kuambiwa kuwa wanaleta fujo.

Nilijua hii thread itawatibua wengi kwani inaweka wazi silaha pekee ambayo watawala wamebaki nayo.

Pole sana kwa wale niliowagusa.

Mkuu hiyo ndio tafsiri ya serikali ya CCM na vyombo vya dola visivyojua maana ya mamlaka yake. Kutoa elimu ya uraia kwao kunamaanisha kuchochea vurugu; yaani kutoa maneno ya uchochezi.
Lissu alionekana mchochezi kule Kiteto kwa kutoa elimu ya uraia na sheria za misitu; na kuwa WANTED!!!
 
Mkuu hiyo ndio tafsiri ya serikali ya CCM na vyombo vya dola visivyojua maana ya mamlaka yake. Kutoa elimu ya uraia kwao kunamaanisha kuchochea vurugu; yaani kutoa maneno ya uchochezi.
Lissu alionekana mchochezi kule Kiteto kwa kutoa elimu ya uraia na sheria za misitu; na kuwa WANTED!!!

Si wanajua silaha pekee waliyobaki nayo ni uelewa mdogo wa watu juu ya haki zao, ndiyo maana wakiona elimu ya uraia ikitolewa, wanapata hofu.
Lakini sasa tutaendelea kukaa kimya hadi lini.
 
Hivi ni nani anapaswa kuwaelimisha wananchi hasa wa vijijini. Maana hawakawii kusema wachochezi, wanavuruga amani mara intelligence....

Mkuu hii ni propaganda tu, wana take advantage ya ignorance ya watanzania walio wengi.
 
wazo zuri lakini linahitaji mkakati mzuri zaidi. There are a few question to be raised so that mpango usiwe wa vurugu bali kuelimisha umma... Pia ni bora kuweka agenda za wananchi na si zitakazowagawa zaidi watz

ni vemawatu wajue tunayokosa na kwanini
 
Back
Top Bottom