Tunaandamana juu ya nini?
Tatizo hiki ni kitu kigeni kwa Watanzania.
mfumuko wa bei za bidhaa na hali ngumu ya watanzania wa daraja la chini hadi la kati.
Wana forum,
Nimeshindwa kuvumilia njisi nchi inavyokwenda. nadhani sasa ni muda muafaka wa kwenda kumwambia mkuu kuwa tumechoka na tunataka nchi yetu irudi kuw kama nchi na sio genge la mauza uza. haya ni maandamano ya amani kabisa ambayo myu hatatakiwa hata kuwa na wembe. Ni nguvu ya umma tu inayotakiwa.
Hilo ni wazo langu na nataka watu wa kuunga mkono. haya maandamano yatakuwa hayana kiongozi wala chama, yatakuwa sawa na ya ya waamerika weusi yalioitwa match to Washington. Ni nguvu ya umma pekee itakayoshinda
Action plan will follow after showing your support. Gembe to hell with your masters
Shalom!
Wana forum,
Nimeshindwa kuvumilia njisi nchi inavyokwenda. nadhani sasa ni muda muafaka wa kwenda kumwambia mkuu kuwa tumechoka na tunataka nchi yetu irudi kuw kama nchi na sio genge la mauza uza. haya ni maandamano ya amani kabisa ambayo myu hatatakiwa hata kuwa na wembe. Ni nguvu ya umma tu inayotakiwa.
Hilo ni wazo langu na nataka watu wa kuunga mkono. haya maandamano yatakuwa hayana kiongozi wala chama, yatakuwa sawa na ya ya waamerika weusi yalioitwa match to Washington. Ni nguvu ya umma pekee itakayoshinda
Action plan will follow after showing your support. Gembe to hell with your masters
Shalom!
Wana forum,
Nimeshindwa kuvumilia njisi nchi inavyokwenda. nadhani sasa ni muda muafaka wa kwenda kumwambia mkuu kuwa tumechoka na tunataka nchi yetu irudi kuw kama nchi na sio genge la mauza uza. haya ni maandamano ya amani kabisa ambayo myu hatatakiwa hata kuwa na wembe. Ni nguvu ya umma tu inayotakiwa.
Hilo ni wazo langu na nataka watu wa kuunga mkono. haya maandamano yatakuwa hayana kiongozi wala chama, yatakuwa sawa na ya ya waamerika weusi yalioitwa match to Washington. Ni nguvu ya umma pekee itakayoshinda
Action plan will follow after showing your support. Gembe to hell with your masters
Shalom!
kwi kwi kwi... duh Mkuu Shalom umenivunja mbavu! yaani watu wanaoficha ID wajitokeze mtaani tena kwenda Ikulu kwi kwi kwi... JF tunaweza vita vya kifikra.
Will you be on the FRONTLINE Sir or Madam?
Acheni uoga...Si mlishaambiwa hakuna cha kuogopa isipokuwa uoga wenyewe! We are going to do this. Bring out the plan and let's do it!
jmushi1,
Ishu sio priveledges peke yake. Watu wa kawaida watahamasishwa pia. Hapa JF ni jikoni tu mkuu, sio lazima ulie jikoni.