Hongera watanzania: Hata kama wanatuzuia kuandamana mitaani, tuandamane mitandaoni. Maandamano haya ya kisasa yana nguvu kubwa!

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,568
Heko Watanzania kwa mwamko mnaoonesha wa kufuatilia masuala nyeti ya nchi yetu. Laiti tungekuwa hivi miaka 30 iliyopita tungekuwa mbali sana kimaendeleo..

Mnajua ukweli huu?: HAKUNA NCHI YA WAJINGA NA WAOGA ILIYOWAHI KUENDELEA! Ukiona ujinga na woga vinatoweka basi ujue maendeleo yapo karibu.

Hata kama serikali inaendelea kupoka uhuru na haki yetu ya kufanya maandamano mitaani, basi kwa sasa tufanye maandamano hayo online!

Nawaambia watanzania wenzangu maandamano haya yana nguvu na impact kubwa kuliko tunavyofikiri na tukiendelea hivi tutaona viongozi wetu wakijiuliza maswali mengi na kujirudi.

Mtu asibeze tunachofanya mitandaoni. Kama ilivyo kwenye maandamano mitaani kinachotakiwa katika maandamano ya mitandaoni ni UMOJA na MSHIKAMANO!

Utafiti unaonesha dozi inafika vizuri tu kwa njia hii. Tunaweza kuondokana na kero nyingi kwa njia hii na kuleta kuheshimiana kati yetu na viongozi wetu.

Tuoneshe umoja na mshikamano wetu bila kuchoka na tutaona matokeo yake.

Mungu ibariki Tanzania!
 
Heko Watanzania kwa mwamko mnaoonesha wa kufuatilia masuala nyeti ya nchi yetu. Laiti tungekuwa hivi miaka 30 iliyopita tungekuwa mbali sana kimaendeleo..

Mnajua ukweli huu?: HAKUNA NCHI YA WAJINGA NA WAOGA ILIYOWAHI KUENDELEA! Ukiona ujinga na woga vinatoweka basi ujue maendeleo yapo karibu.

Hata kama serikali inaendelea kupoka uhuru na haki yetu ya kufanya maandamano mitaani, basi kwa sasa tufanye maandamano hayo online!

Nawaambia watanzania wenzangu maandamano haya yana nguvu na impact kubwa kuliko tunavyofikiri na tukiendelea hivi tutaona viongozi wetu wakijiuliza maswali mengi na kujirudi.

Mtu asibeze tunachofanya mitandaoni. Kama ilivyo kwenye maandamano mitaani kinachotakiwa katika maandamano ya mitandaoni ni UMOJA na MSHIKAMANO!

Utafiti unaonesha dozi inafika vizuri tu kwa njia hii. Tunaweza kuondokana na kero nyingi kwa njia hii na kuleta kuheshimiana kati yetu na viongozi wetu.

Tuoneshe umoja na mshikamano wetu bila kuchoka na tutaona matokeo yake.

Mungu ibariki Tanzania!
Maandamano yako kwa mtandao hadi wakione. Wakizarau watajuta.
 
Kwa wote wanaoijali Nchi yao. Nimchagua namna ya kuandamana(protest) bila purukushani za mtaani na polisi. Dhumuni, nisikike tu, wanione!
Kuanzia leo hii saa saba na nusu Usiku, ninatengeneza vipeperushi nitakavyotumia kuonyesha Hisia zangu, hofu yangu, hasira yangu, uzalendo wangu,matamanio yangu na karaha zangu... Hatimaye, dhamira yangu Kila wakati ninpozungumza au kuandika, natumia maneno kuelezea hisia, hasira, au sauti enye lafudhi nzito kufikisha ujumbe wangu kwa nguvu zaidi. Wakati wa kufanya hivyo, nitatumia vivumishi!

Ukipenda kujiunga nami.... Nakushauri tumia kipeperushi hicho kwenye dirisha la gari lako, nyumbani kwako, ofisini kwako popote pale Wakuu wapate ujumbe kuwa haufurahishwi na Mkataba huu, halafu tuone watakuja kamata nyumba ngapi magari mangapi na ofisi ngapi....na kuzipeleka kituo chechote kile....hakika tusilale kuhusu suala hili mpaka kieleweke

Haya ndio yatakuwa maandamano yangu
Naanza na kipeperushi changu
============

Ninastahili Serikali inayonisikiliza-Rudini mezani tupate mkataba unaoeleweka.
============
Bandari ni uti wa mgongo wa nchi yangu
Wacheni Ukaidi, Wacheni Upotoshaji, Nchi hii ni yetu sote.
============
Wacheni Ukaidi, Wacheni Upotoshaji, Tunahitaji Ukweli Usiopindishwa pindishwa
============
Iwe ni Zanzibar, Iwe ni Bara-Tanzania ni yetu sote.Bandari ni yetu sote!
============
 
Mwarabu anapata tabu huko...kwa yanayoendelea mtandaoni hata huko wanawaza waje au wacancel maana si kwa movement hii mtandaoni..
If serikali wataforce mbele ya safari mambo yatakuwa mabaya sana.
 
Dozi inafika vizuri kabisa. Kitendo cha DP-WORLD Kuzima comments kwenye IG page yao maanake ni kua dozi imewafikia na tutaendelea kuandika kila mahali .

Naona Msigwa nae anajitahidi kutetea huu uozo lakini watanganyika wameukataa
 
Mnaopinga huu ukodishaji njooni na solution! Ufanisi pale bandarini hakuna. Je SGR ikianza itakuwa ikipokea mizigo kwa speed hii hii? Mm nafurahia mijadala ya kuboresha vipengele vya mkataba. Kuhusu ufanisi nakubaliana na ukodishaji Ili tuendelee! Najiuliza sana, au tatizo ni mwarabu? Ivi tunaweza kuhoji uwezo wa kampuni ya Dubai kwenye hili?
 
Heko Watanzania kwa mwamko mnaoonesha wa kufuatilia masuala nyeti ya nchi yetu. Laiti tungekuwa hivi miaka 30 iliyopita tungekuwa mbali sana kimaendeleo..

Mnajua ukweli huu?: HAKUNA NCHI YA WAJINGA NA WAOGA ILIYOWAHI KUENDELEA! Ukiona ujinga na woga vinatoweka basi ujue maendeleo yapo karibu.

Hata kama serikali inaendelea kupoka uhuru na haki yetu ya kufanya maandamano mitaani, basi kwa sasa tufanye maandamano hayo online!

Nawaambia watanzania wenzangu maandamano haya yana nguvu na impact kubwa kuliko tunavyofikiri na tukiendelea hivi tutaona viongozi wetu wakijiuliza maswali mengi na kujirudi.

Mtu asibeze tunachofanya mitandaoni. Kama ilivyo kwenye maandamano mitaani kinachotakiwa katika maandamano ya mitandaoni ni UMOJA na MSHIKAMANO!

Utafiti unaonesha dozi inafika vizuri tu kwa njia hii. Tunaweza kuondokana na kero nyingi kwa njia hii na kuleta kuheshimiana kati yetu na viongozi wetu.

Tuoneshe umoja na mshikamano wetu bila kuchoka na tutaona matokeo yake.

Mungu ibariki Tanzania!
 

Attachments

  • Julius Nyerere on Development and Private Enterprise.mp4
    64.9 MB
Mnaopinga huu ukodishaji njooni na solution! Ufanisi pale bandarini hakuna. Je SGR ikianza itakuwa ikipokea mizigo kwa speed hii hii? Mm nafurahia mijadala ya kuboresha vipengele vya mkataba. Kuhusu ufanisi nakubaliana na ukodishaji Ili tuendelee! Najiuliza sana, au tatizo ni mwarabu? Ivi tunaweza kuhoji uwezo wa kampuni ya Dubai kwenye hili?
Tatizo sio Uweo wa Dubai ...ni aina yaMktaba ...hatutaki unyonyaji!
 
Tatizo sio Uweo wa Dubai ...ni aina yaMktaba ...hatutaki unyonyaji!
Wekeni clear huo unyonyaji basi ujadiliwe na makubaliano yafikiwe, unajua huu mjadala watu wengi ikiwemo maadui zetu wanataka mwisho wa siku tusiboreshe bandari yetu ibaki na speed ya 2G wakati tunahitaji 5G pale! Wafanyakazi wa bandarini hawataki mwekezaji kwa sababu wanajua akiingia uzembe kwisha
 
The bogus treaty between Tanganyika and Arabs of Dubai,of 2023/June,was endorsed by the parliament of Tanganyika!
The key areas involved:-
.surrendering the port of Tanganyika(Dar es salaam) to the Arabian entity (DP World),under the allegation that Tanganyikans have failed to run the port due to rampant, graft,and bureaucracies practiced by Tanganyikans(natives),
.surrendering all minor ports that are found all over within the boundary of Tanganyika to the Arabians(Dubai),this is well elaborated in the contract signed by DP world organization representing Arabians versus the government of Tanganyika
.surrendering the Tanganyikans authority on ports business affairs to the Arabian(Dubai)
.During the operation of the contract,no compromise,questioning interrupting the contract as per article of agreement would be aloud especially from Tanganyikans,otherwise for mercy and willing of the Arabs themselves,
.During the operation of the contract it's scope will be expanding,whether they need a capture a vast land,infrastructures like railway,airports etc ,no obstruction from Tanganyikans they should face,and they need not to ask any kind of mercy to any Tanganyikans authority.
Those are the agreements endorsed by the Tanganyikans parliament to let the contract starting operating without barrier,to conclude,Tanganyikans wake up,wake up,it's another phase of slavery which it is in a form of modern way, formerly they used riffles,contrary now days they use brief case weapons to colonise our country by capturing strategic economic sectors,currently they have started with a port of Dar es salaam,it's funny our parliamentarians are clapping hands to welcome this exploitative slavery which have covered under the umbrella of privatisation .

My call to you all Tanganyikans try to weigh out now,are our leaders the type chief mangungo! The famous chief in historical time of Tanganyika during colonialism who sold all the land of his people by signing the bogus treaty(contract)with Arabs, it's the behaviour of Arabs to bribe irresponsive leaders to sign with them bogus contracts so as they reap huge wealth,and exploit them to the maximum,the same they have done to Tanganyikans on the current move which is a hot theme now discussed in floor.
 
Kwa wote wanaoijali Nchi yao. Nimchagua namna ya kuandamana(protest) bila purukushani za mtaani na polisi. Dhumuni, nisikike tu, wanione!
Kuanzia leo hii saa saba na nusu Usiku, ninatengeneza vipeperushi nitakavyotumia kuonyesha Hisia zangu, hofu yangu, hasira yangu, uzalendo wangu,matamanio yangu na karaha zangu... Hatimaye, dhamira yangu Kila wakati ninpozungumza au kuandika, natumia maneno kuelezea hisia, hasira, au sauti enye lafudhi nzito kufikisha ujumbe wangu kwa nguvu zaidi. Wakati wa kufanya hivyo, nitatumia vivumishi!

Ukipenda kujiunga nami.... Nakushauri tumia kipeperushi hicho kwenye dirisha la gari lako, nyumbani kwako, ofisini kwako popote pale Wakuu wapate ujumbe kuwa haufurahishwi na Mkataba huu, halafu tuone watakuja kamata nyumba ngapi magari mangapi na ofisi ngapi....na kuzipeleka kituo chechote kile....hakika tusilale kuhusu suala hili mpaka kieleweke

Haya ndio yatakuwa maandamano yangu
Naanza na kipeperushi changu
============

Ninastahili Serikali inayonisikiliza-Rudini mezani tupate mkataba unaoeleweka.
============
Bandari ni uti wa mgongo wa nchi yangu
Wacheni Ukaidi, Wacheni Upotoshaji, Nchi hii ni yetu sote.
============
Wacheni Ukaidi, Wacheni Upotoshaji, Tunahitaji Ukweli Usiopindishwa pindishwa
============
Iwe ni Zanzibar, Iwe ni Bara-Tanzania ni yetu sote.Bandari ni yetu sote!
============
Wewe kuandika Wacheni badala ya acheni ni mkakati ili baadaye mseme wasiotaka mkataba wa bandari ni Wakenya? eti.
Maana mmejaa humu mkisafisha hali ya hewa!
 
Back
Top Bottom