Tuaminio biblia, msaada kwenye tuta tafadhali naumbuka

moghasa

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,084
1,252
Wakuu asalaam,

Leo katika pitapita zangu kitaani baada ya kutoka chachi nikakutana na jamaa, baada ya kuniona na biblia akaniuliza yafuatayo;

1. Kama kweli gharika kuu ya Nuhu ilitokea, Je, kwanini dunia nzima sio Maji ya Chumvi au Maji baridi.

2. Je, Ndege aina ya Penguine (hawaruki) waliwezaje kusafiri kutoka Antakitika kwenye baridi Kali hadi mashariki ya kati kwenye joto Kali.

3, kama samaki wa Maji baridi waliguswa na Maji chumvi, kwanini hawakufa?


Jamaa nikamwangalia nikajisemea kimoyomoyo " ingekuwa siasa, huu ulikuwa uchochezi wa wazi kabisa " Nikaondoka kimyakimya.

Msaada tafadhari.
 
Sijui biblia sana ila majibu yapo wazi kabisa. Kazi ya safina ilikuwa ni nini? Kumbuka baada ya kujenga safina nuhu aliingia pamoja na kila kiumbe hai duniani wawili wawili. Hii ikiwa na maana kwamba vyote vilivyobaki duniani vilikufa, baada ya gharika nuhu akaja akatoa vyote alivyoingia navyo. Wale wa baharini akawaweka baharini, wa maji baridi akawaweka kwenye maji baridi. Kumbuka nuhu alitoka kwenye safina baada ya nchi kukauka.
 
Sijui biblia sana ila majibu yapo wazi kabisa. Kazi ya safina ilikuwa ni nini? Kumbuka baada ya kujenga safina nuhu aliingia pamoja na kila kiumbe hai duniani wawili wawili. Hii ikiwa na maana kwamba vyote vilivyobaki duniani vilikufa, baada ya gharika nuhu akaja akatoa vyote alivyoingia navyo. Wale wa baharini akawaweka baharini, wa maji baridi akawaweka kwenye maji baridi. Kumbuka nuhu alitoka kwenye safina baada ya nchi kukauka.
na bakteria pia aliingia nao..? mbu je..?
 
Wakuu asalaam,

Leo katika pitapita zangu kitaani baada ya kutoka chachi nikakutana na jamaa, baada ya kuniona na biblia akaniuliza yafuatayo;

1. Kama kweli gharika kuu ya Nuhu ilitokea, Je, kwanini dunia nzima sio Maji ya Chumvi au Maji baridi.

2. Je, Ndege aina ya Penguine (hawaruki) waliwezaje kusafiri kutoka Antakitika kwenye baridi Kali hadi mashariki ya kati kwenye joto Kali.

3, kama samaki wa Maji baridi waliguswa na Maji chumvi, kwanini hawakufa?


Jamaa nikamwangalia nikajisemea kimoyomoyo " ingekuwa siasa, huu ulikuwa uchochezi wa wazi kabisa " Nikaondoka kimyakimya.

Msaada tafadhari.
Rudi kamjibu hivi..kisichowezekana kwa mwanadamu kwa MUNGU yawezekana
 
KISICHOWEZEKANA KWA WANADAMU KWA MUNGU INAWEZEKANA
kumbuka wanyama wote walianza kutokea mashariki ya kati na kusambaa dunia nzima, walipoumbwa aliletewa ADAMU awape majina
 
Simple logic: viumbe wa majini hawadhuriki na mvua, kwahyo gharika liliwaathiri viumbe waishio nchi kavu... Mfano mdogo tu wa mafuriko ya kawaida, Samaki hawafi kwa maji kuongezeka, wanakufa kwa kukosekana maji...

Hata sasa mvua zinanyesha baharini ambapo Samaki wa maji chumvi wanaishi
 
Kwahyo hata sasa kuna magharika ya maji sehemu nyingi ila viumbe wa majini au waishio kwenye maji hawawezi kudhurika kwa kuongezeka kwa maji....
 
Back
Top Bottom