Nimekuwa nikimfatilia sana naibu waziri wa elimu kuna siku alionekana anasoma attendance register kwenye parade,siku nyingine anakagua mitaala ya shule,jana analaumu necta live kwenye tv kwa kutoa number kwa shula bila mkoa kuhusishwa.
Wasiwasi wangu naona nia ni njema lakini siyo style sahihi ya uongozi hasa kwa mtu mkubwa kama waziri,pia kutumia sana tv kushambulia watu ni dalili za kutaka sifa nyinyi wadau mnasemaje! Shule hii ni ya mwaka 1966
Wasiwasi wangu naona nia ni njema lakini siyo style sahihi ya uongozi hasa kwa mtu mkubwa kama waziri,pia kutumia sana tv kushambulia watu ni dalili za kutaka sifa nyinyi wadau mnasemaje! Shule hii ni ya mwaka 1966