Tuambie uko wapi na unauza nini?

Tuambie uko wapi na unauza nini?

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,295
Reaction score
60,915
Hellow dear members,. Hope mko poa na kila kitu nikaenda vizuri na kwa wale ambao mna changamoto Jah awafanyie wepesi.

Leo bhana nikasema nipitie nyuzi zangu na za baadhi ya members na zote tu ambazo hukuwaga trending mara nyingi,. Nimeona viewers ni wengi mnooo.. Na sitaki kuamini kama hao viewers ni robots na watu walioko nje ya nchi,. Naamini wengi tupo hapahapa Tz,.

Your girl nikaja na wazo,. Why wafanya biashara na wajasiriamali tusitumie hii fursa,. Na nina imani itawork out... Em tuambie uko wapi?? Na unauza kitu gani ??( hapa unaweza ukaweka hata picha moja ya bidhaa unazouza na bei ) Au unatoa huduma gani??,. Unaweza kupata wateja wengi humu pia naamini watu wapo na wataona na watakutafuta,..

Kwa watoa huduma em jaribu tu kuielezea huduma yako tu vizuri bila kuweka links ( hii kuepukana na utapeli au hackers) .. Just nadi tu huduma yako atakayevutiwa nayo akutafute Pm na mje mtupe mrejesho mambo yalikwendaje??..

I promise to be your first customer from JF/JA nikivutiwa na bidhaa au huduma yako,.

Uwanja ni wenu.....
 
Nauza tyre za magari
Nauza rim za magari
Nauza battery za gari
Napatikana Kariakoo
0626 799 329
 

Attachments

  • 20250405_144244.jpg
    20250405_144244.jpg
    272.2 KB · Views: 19
  • 20250404_102943.jpg
    20250404_102943.jpg
    321 KB · Views: 21
  • 20241012_102240.jpg
    20241012_102240.jpg
    268.9 KB · Views: 19
  • 20240329_133722.jpg
    20240329_133722.jpg
    240.2 KB · Views: 19
Nakazia

Kuna siku mtu kanicheki akasema ametoa namba zangu insta, kwa bahati mbaya huko insta sijawahi post hiyo biashara. Nikajua tu kuna mahali nshajichanganya moyo ukawa mzito kabisa.

kuna siasa na wake za watu, hivi vitu n hatari mno.
Haha,. Kwamba unaogopa ukimtukana mama utasakwa popote ulipo??😃😃😆😅😅😅
 
Back
Top Bottom