witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Hapana ni kilevi
hata kwenye picha huwa naangalia na nahisi ni mtamu sana
Kilev kilichochanganyika na msos ... Ni chakula ghali ... Sijakila na miaka minne
Huuhuuu....aseehata kwenye picha huwa naangalia na nahisi ni mtamu sana
u see what??
Hahaha... mbona mate hukuchuruzika napokuleteaga biriani na kuku...