Tuambie msosi unaoukubali sana

Tuambie msosi unaoukubali sana

Hivi uwa najiuliza kuhusu io jina ako kwanini ulijiita ivo?

Sasa we jamaa hapa tunaongelea misosi au majina mkuu? Ukitaka ufatifi wa hizo mambo anzisha uzi mwingine tafadhali. We umeulizwa kwa nini unajiita katib mkoa ?

Alaf kati ya watu woooote umeona carbamazepine ndio umuulize...kaa kwa tahadhari. Sifikirii utapenda kuchezea BAN ya mwaka
 
Sasa we jamaa hapa tunaongelea misosi au majina mkuu? Ukitaka ufatifi wa hizo mambo anzisha uzi mwingine tafadhali. We umeulizwa kwa nini unajiita katib mkoa ?

Alaf kati ya watu woooote umeona carbamazepine ndio umuulize...kaa kwa tahadhari. Sifikirii utapenda kuchezea BAN ya mwaka
Nisamehe chifu io jina iko na kitu kwenye maisha yangu na pm yake kafunga
Ndo nkamuuliza hapa
 
Sasa we jamaa hapa tunaongelea misosi au majina mkuu? Ukitaka ufatifi wa hizo mambo anzisha uzi mwingine tafadhali. We umeulizwa kwa nini unajiita katib mkoa ?

Alaf kati ya watu woooote umeona carbamazepine ndio umuulize...kaa kwa tahadhari. Sifikirii utapenda kuchezea BAN ya mwaka
Ila chifu umekuja kibabe sidhani kama ungefanya jambo ilo kama ungekua unanifahamu
Usimshushe usie mjua
 
Back
Top Bottom