Mkuu najua vizuri kabisa huu mjadala kulingana heading yake unaweza kutoa fursa nyingi za kibiashara lakini kwa hizo bei 2000 napata mashaka juu ya dhamira ya mtoa mada,,, anyway sio mbaya huku ulipo ni fursa nzuri kwa wafanya biashara was mahindi!!! Kanda ya ziwa utauza av. 8000Sio dhamira yake kuu! Dhamira yake kuu ni kujua sehemu ulipo mazao hayo ni bei gani na kama mtu anaweza kununua anunue kutoka sehemu ambayo mazao hayo anaona yatamlipa!